Search results

  1. S

    Slaa, Lissu na wafuasi wao wafikishwa mahakamani Arusha

    Hawana jipya viongozi wachadema acha waende Jela na hakuna watakalopata bali wataendelea kulalama tu. Nguvu ya Umma bongo hakuna hapa ni CCM Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
  2. S

    Slaa, Lissu na wafuasi wao wafikishwa mahakamani Arusha

    safi hiyo acha wakasote jela tu maana wametuchosha na propaganda zao ambazo kila kukicha zinafeli
  3. S

    Slaa, Lissu na wafuasi wao wafikishwa mahakamani Arusha

    Wana chadema kubalini kwa hili mmefeli katika jiji la Arusha hakuna nguvu ya umma bali ni nguvu ya soda na viroba tu mikesha mliyotangaza ikowapi jaribuni kufikiri na kuacha kuropa
  4. S

    AIBU KWA CCM: Wanashindwa kuirudisha Arusha chini ya himaya ya CCM pamoja na kutumia polisi!

    Jioni ya leo Arusha ni shwari kabisa wafuasi wa Chadema hawana lao wameanza kulala mapema na Mji umetawaliwa na Shangwe za vijajana wa UVCCM. Chadema Kwishenei Arusha vijana wanaimba nyimbo za kukiponda chama kwa kushindwa kuwaunganisha na kuwatelekeza hivyo kwa ufupi ni ushindi wa CCM dhidi ya CDM
  5. S

    AIBU KWA CCM: Wanashindwa kuirudisha Arusha chini ya himaya ya CCM pamoja na kutumia polisi!

    A. Town Masharaharo tu mmeanguka zaidi ya Gadafi. mnaogopa risasi na mabomu huku mkidai Mji wa Ukombozi Plz wapelekeeni viongozi wenu Msosi selo na wambieni na wao wakatae dhamana wakanyee ndoo gerezani. Mapinduzi hayafanywi kwa nguvu ya Valuu wala kiroba cha Jogoo
  6. S

    Kilichotokea Arusha katika picha

    Watanzania wote ni mafisadi kama serikali yao hivyo hawawezi kufanya mapinduzi yeyote hata ya kumuondoa mwenyekiti wa Mtaa. Kwa hili la Arusha CDM wamefeli ama wamekufa kifo cha mende kwa kusalitiwa na Nguvu ya umma ambayo ni tegemeo lao.
  7. S

    Viongozi wa CHADEMA Moshi

    Hauna unachokifikiri kwani unatoka familia ya Kifisadi inayoilishwa na posho za Magamba
  8. S

    Viongozi wa CHADEMA Moshi

    hizo ndo faida za utawala wa Magamba
  9. S

    AIBU KWA CCM: Wanashindwa kuirudisha Arusha chini ya himaya ya CCM pamoja na kutumia polisi!

    Hali ikoje sasa katika mji wa ukombozi Arusha? Je wana Chadema walikuwa na nguvu ya soda na sio Umma kama hali ni shwari?
  10. S

    Mzumbe hawako makini kiutendaji

    Achani kiulalamika kusoma Bongo. Mmeshindwa kuungana na Wanachadema kutetea mabadiliko sasa mnalalama hivyo bac mnastahili kutendewa hivyo
  11. S

    CHADEMA waamua ku-'OCCUPY ARUSHA'; Kushinikiza LEMA aachiwe!

    Mkesha wa ukombozi. Nashauri vyombo vya habari virushe live yanayojiri A. Town now ili Watanzania wote waelewe
  12. S

    CHADEMA waamua ku-'OCCUPY ARUSHA'; Kushinikiza LEMA aachiwe!

    Toeni picha tafadhali yanayojiri Arusha. Shy Town kesho tupo barabari kuwaunga mkono wana Arusha hakuna kulala mpaka kieleweke
  13. S

    Kilichotokea Arusha katika picha

    Vip Kamanda Lema kesha toka au ndo mabo ya intelejinsia? kama vip cdm wapike maandamano mpaka kieleweke
  14. S

    Hakimu amchomolea Lema kutoka, asema mpaka Jumatatu

    So kinachoendelea ni kipi?
Back
Top Bottom