Hawana jipya viongozi wachadema acha waende Jela na hakuna watakalopata bali wataendelea kulalama tu. Nguvu ya Umma bongo hakuna hapa ni CCM Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wana chadema kubalini kwa hili mmefeli katika jiji la Arusha hakuna nguvu ya umma bali ni nguvu ya soda na viroba tu mikesha mliyotangaza ikowapi jaribuni kufikiri na kuacha kuropa
Jioni ya leo Arusha ni shwari kabisa wafuasi wa Chadema hawana lao wameanza kulala mapema na Mji umetawaliwa na Shangwe za vijajana wa UVCCM. Chadema Kwishenei Arusha vijana wanaimba nyimbo za kukiponda chama kwa kushindwa kuwaunganisha na kuwatelekeza hivyo kwa ufupi ni ushindi wa CCM dhidi ya CDM
A. Town Masharaharo tu mmeanguka zaidi ya Gadafi. mnaogopa risasi na mabomu huku mkidai Mji wa Ukombozi Plz wapelekeeni viongozi wenu Msosi selo na wambieni na wao wakatae dhamana wakanyee ndoo gerezani. Mapinduzi hayafanywi kwa nguvu ya Valuu wala kiroba cha Jogoo
Watanzania wote ni mafisadi kama serikali yao hivyo hawawezi kufanya mapinduzi yeyote hata ya kumuondoa mwenyekiti wa Mtaa. Kwa hili la Arusha CDM wamefeli ama wamekufa kifo cha mende kwa kusalitiwa na Nguvu ya umma ambayo ni tegemeo lao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.