Ilishaletwa hapa.
Uwe unatoa compeliment unaporudia thread ya mtu...
Mila na desturi za makabila mbalimbali hapa duniani katika shughuli za mazishi
MODS: Unganisheni huu uzi please.
Kama hujui kwa taarifa yako kinachomtesa Mrema hadi sasa ni ile Hallal Badr aliyosomewa na waislamu wa Mwembechai.
Kama ilisomwa kweli subiri majibu yake mubashara
Tulinganishe kati ya awamu ya nne na ya tano bei ya bidhaa muhimu z vyakula zimepanda kwa kiasi gani?
Je hali ikoje eneo unaloishi kuhusiana na kupanda kwa gharama za maisha?
Je zinaendana na ukuaji wa uchumi?
Halafu wao wanapolalamika utadhani huyu mwanamke amekaa tu akisubiri aletewe kila kitu. Mwanamke kwa upande wake ana wajibu wa kujitafutia kipato kwa ajili ya mambo yake mengine lakini linapokuja swala la kuwa na mpenzi, yale mambo yanayohusu mwili wake na starehe zake ni jukumu la mwanaume. Na...
Mababu zetu walikuwa wanahonga sana labda kushinda wakati wowote kwa sababu walikuwa wanajitoa mpaka kuhatarisha maisha yao ili kuhakikisha mpenzi wake yuko salama na ana furaha.
Kuhonga wakati huo kulikuwa na maana ya mwanaume kuwa na uwezo wa kumfanya Mwanamke ajihisi salama kwa kuhakikishiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.