Search results

  1. M

    Wasanii wa filamu ni muhimu wapewe elimu ya utambuzi na udadavuzi wa sanaa

    Nawashukuru sana wachangiaji wa mada tofauti mlizochangia. Ninamatumaini makubwa na imani kubwa na nyinyi, kutokana na uwezo mkubwa wa utambuzi wa mambo.leo katika jamvi letu la jukwaa la taaluma tunaona ni muhimu kujadili suala zima la elimu ya sanaa kwa wasanii wa tanzania.tumeona matukio...
  2. M

    Muslim university of morogoro na scandle ya uongozi

    Wakati chuo kikuu cha waisla kinaanzishwa watu wengi hawakuwa na matumaini kuwa chuo hicho kingeweza kupata uongozi makini ambao ungepelekea wanachuo kusoma na kuhitimu masomo yao.hii ni kutokana na ukweli kuwa taasisi nyingi za kidini zimekuwa chini ya migogoro.hali hiyo iliperekea sintofahamu...
  3. M

    Muslim university of morogoro na scandle ya uongozi

    Wakati chuo kikuu cha waisla kinaanzishwa watu wengi hawakuwa na matumaini kuwa chuo hicho kingeweza kupata uongozi makini ambao ungepelekea wanachuo kusoma na kuhitimu masomo yao.hii ni kutokana na ukweli kuwa taasisi nyingi za kidini zimekuwa chini ya migogoro.hali hiyo iliperekea sintofahamu...
  4. M

    Haki na wajibu wa wanafunzi kuwa na bima ya afya kwa

    Tutaipongeza serikali kama italifanyia kazi suala hili muhimu kwa vijana wa kitanzania maana afya ni ujenzi muhim na muhimili mkuu wa shughuli za kimaendeleo ni adui mkuu wa maendeleo tuwajengee uwezo wanafunzi wetu wa kitanzania huo ni uzalendo wa kiukweri taifa letu halijengwi na mtu yoyote...
  5. M

    Haki na wajibu wa wanafunzi kuwa na bima ya afya kwa

    Habari za mda huu watanzania wenzangu na poleni sana kwa majukumu ya kulitumikia taifa.nina uhakika wengi mnamawazo makubwa ktk kusheherekea mwaka mpya maana baada ya sikukuu basi ni kuhakikisha kuwa watoto wanakwenda shule.hivyo mawazo yatakuwa zaidi ya mwaka 2011.poleni sana hayo ndo...
  6. M

    Migomo vyuo vikuu nani mchawi?

    Migomo ya vyuo vikuu ktk mwaka wa masomo wa 2011-2012 umepungua kwa kiasi kikubwa sana.serikali inapaswa kupongezwa kwa hilo.lkn hoja yangu ya msingi ipo palepale kuwa kunauwezekano mkubwa serikali kutambua kwa kina vyanzo vya migomo vyuoni.matatizo hayo ni lazima yazingatiwe ili kuepusha athari...
  7. M

    Mtihani kidato cha sita ni maafa makubwa zaidi ya mafuriko ya kigogo

    Ni matumaini yangu kuwa watanzania wote tupo katika maombolezi ya maafa ya watanzania wenzetu waliopata mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunywsha.mungu ibariki tanzania mungu ibarikiafrc.ni siku chache zimesalia vijana wa kidato cha 6 wafanye mtihani wao wa kidato cha sita.hofu yangu...
  8. M

    Nipe katiba yako kwanza ili nitoe maoni

    katika hali isiyo ya kikawaida viongozi wengi wa vyama vya siasa wamekuwa wakidai uwepo wa katiba mpya kama chachu ya kuleta mabadiliko ya kisiasa katika nchi yetu ya Tanzania.maono hayo ni sahihi kwa kuwa ni wajibu wa kila mtanzania kuwa na fikra zamivu zenye ueredi wa kuleta...
Back
Top Bottom