chama cha masisim kifie mbali huko kwani sheria kama hizi zinatusaidia nini. utatoaje zawadi ya wanyama wa umma? tena huyu mtu anayetetea huu uovu ni vizuri akaacha kabisa maana sasa naona maslahi binafsi yanataka kuuwa kabisa nchi. mnajua tunakwenda kubaya sasa tunashabia hata mambo yasiyo na...
hata kama wakiongeza millioni shida yetu si hela kwa sasa shida yetu ni mabadiliko ya mfumo na chama kipya ikiambatana na kurudisha mapendekezo yote ya rasimu ya ya pili ya maoni ya katiba ya Jaji Joseph Sinde Warioba ahsante kama kinawauma wazichukue maana hela ni za umma si za viongozi
wataalam watanzania na wanasiasa hawajui wanatoka wapi na nini uhusiano kati ya mawndeleo na mazingira na tabia nchi wao wanajua tuko kodi na ufisadi na siasa ZA KUNUKA
acha kufuata mkumbo ww lowasa ni mfanyabiashara mkubwa mambo usiyoyajua usiyaseme maana inaonekana hujui chochote.waonw watu wanaojui mambo ya nchi hii watakusaidia ikiwa ni pamoja na ccm waadilifu na wanaojua mambo ya kweli ya nchi hii
Mwadada84
ni mambo ya kawaida hayo mdogoangu usiwe na waswas amefanya kosa na amejitambua na kukuri nakuhakikishia wewe tulua haturudia tena na ndoa yako itakuwa imara sana acha aende kufanya kazi hata mimi nimepata pigo kama hilo na nimetafiti kwa wenzangu takribani 6
Natamani viongozi kama hawa wasiwepo duniani. Na kama ni sheria zinafuatwa basi natamani kusiwe na sheria kabisa twende tu bila hata viongozi ngazi ya juu maana hawana chochote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.