Asante sana Kiongozi kwa ushauri na elimu hii adimu. Nimevutiwa na kilimo cha matikiti maji. Napenda kujua miezi ipi kilimo hiki kinaweza kufanyika. Na pia miezi ipi tunda ili linakuwa adimu sana ili niweze kujipanga. Na kama nitahitaji usaidizi wako wa karibu wakati naanza kilimo huko naweza...
Jamani currently tuna wasimamizi wa vyuo vyote vikuu yaani Tanzania Commission for Universities ambayo imeweka viwango mbalimbali vya wanafunzi kuingia vyuo. Kwa mfano alama za chini kabisa ni point 2.5 kwa muhitimu wa kidato cha sita yaani awe na atleast 2 Es na 1S unaweza kupiga mahesabu yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.