Good work Ndinda for enlightening the general public and the world at large on the gift given to us by God.Now,apart from the fact that they do not benefit the common man rationally,worse enough is the destracton of environment done greatly by the Government through granting of lincences to...
Yameongelewa mengi lakini uzembe katika swala zima la uhifadhi wa mazingira ya national parks na conserved areas haliongelewi.Ujenzi holela wa mahoteli kwenye mapitio ya wanyama pamoja na ujenzi wa barabara ya lami hifadhini hauongelei.Je ujenzi wa kiwanda cha madini ya phosphate lake natron...
unajua sie tutabaki kulalamika wakenya wanasema mlima ni wao,kumbe wenzetu wanatupiga bao kwenye promotion na advetisements,bodi ya utalii haipo serious kabisa, juzi nimesoma uvumbuzi wa researcher mzungu wa lava tunnel mbili mt kilimanjaro kwenye the east african paper,huku bongo sijaona...
Kweli TIGO weshakuwa geedy for money sana,itakuwa bahati ya mtende kama utapiga simu yao ya huduma kwa wateja na ipokelewe,alafu huduma hiyo yalipiwa siku izi,uzuri nilishawahama.
Mie sitegemei content yenye maana kutoka kwake Jk,kwani kwa mika 6 madarakani ameonyesha inefficiecy kwa kiwango kikubwa na hata wananchi washamgundua,ila naomba jeshi la polisi litumie akili zaidi kuliko nguvu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.