Kuwa na namba 2 za WhatsApp, moja ya kazini nyingine tumia kwa mambo yako mengine.
Ukitoka kazini zima hiyo WhatsApp ya kazini... unaeza eka WhatsApp mods zinazokua na features za Do not Disturb then mambo yanajipa unawasha ukishaingiza kazini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.