Bado unapita m
Bado una pita njia ile ile ninayopita mimi hao wazungu wanafanya yote hayo kwa maslahi yao kumshindikiza lisu airport sio kama wanampenda ni basi tu washaona inawezekana chadema au lisu ni njia ya kuwapeleka kule wanapokutaka juu ya tz
Hata wewe pia unachekesha kwa akili yako china, urusi, india na baadhi ya nchi kama south korea nk haziwezi kuingia hapo, huo ni mpango tu wakuendelea wa kujiona wAo ndio kila kitu.
Ndio akili zao hizo kwa kuwa wameitwa wapinzani basi kipinga kila kitu itawezekana vipi watu kupata maendeleo bila kujenga vitu vya kurahisishia watu kazi zao.
Uyasemayo yana ukweli ni haki ya kila mtu kulipa kodi lakini serekali imewawezesha kwa kiwango gani wananchi wake katika maisha yao kuweza kulipa kodi au watu walipe kodi bila kujua uwezo wao wakati kwa sasa kilo 1 ya unga sembe inakaribia 2000.
Kweli hii tz hata kichaa anaweza kuongaza ni watu maridhia sana japo ni nzuri lakini mwisho tunafanywa mazombi hasa nikiona mambo haya ya tozo inauma ingawa kodi ni haki kwa raia juu ya uendeshaji wa serekali yao.
Kweli kabisa hata hapa tz wapo wanao kimbia madeni na kwenda nje ya nchi na wengine hufanya uhuni kibao mitaani wakiajibishwa na jamii utasikia sababu za kisiasa tu ndio zilizowaponza
Lakini umefamu ni wahamiaji wa aina ipi wanaoweza kukupa maendeleo, wanachofanya wa rwanda sio hivyo uonavyo wewe wao wapo kuiba mali za nchi jirani na kupeleka nchini kwao na kuanzisha makundi ya waasi mfano M23
Inawezekana wewe hujui chochote kuhusu maisha ya z'bar alichomisema muandishi kipo sawa sawa bidhaa kwa kipindi hichi zimepanda sana mfano saruji waziri wa biashara baada kuweka mambo sawa yeye ndio kaipandisha kabisa kwa kuagiza iuzwe kwa 18 elfu baada ya 15 elfu kwa mfuko mmoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.