Inshallah allah amjalie kher Dr Dau Mtanzania mzalendo
Kuna kisa kirefu kwa nini nilipelekwa kwa Dr. Dau lakini hapa si mahali pake
na kisa chenyewe hakipendezi kwani ni huu ubaguzi wa dini tunaotahadharisha.
Tulikuwa tukisafiri kwenda kwenye mikutano nje ya Dar es Salaam na mimi ndiye...
Yah! bwa mdogo jepesi yupo right bse mpk sasa ukiachia hizo textiles to be absolutely perish kwenye korosho ndio kabisa kwa mfano juzi watu watandahimba walifunga barabara kuishindikiza serikali wapate malipo ya pili*(bonus) na korosho sasa hivi zinazovuna hapa kwetu nchini nikwaajili ya export...
Tunashangaa nini wana jopo? Tumesahau kwamba anayemlipa mpiga zumari ndiye anayechagua wimbo.Wenzetu Ghana Rais wao prof Atta Mills na Yule waziri wa kigeni Uganda wameshapinga kauli ya kushinikiza ushoga ya Cameron kitambo mbembe anaushawishi kikauli tu but sio utendaji........Kazi ni kwetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.