UKICHAA si lazima kuokota makopo na kuhangaika barabarani tu! Ukichaa una aina nyingi tofauti tofauti. Alimradi kitendo alichokifanya mama huyu sio cha kawaida na ni cha kumdhuru kijana mdogo kwa kutumia 'adhabu' aliyoitumia, inaonyesha dhahiri kwamba ni mgonjwa wa akili na wote wanaoishi nae...
<tbody>
Some of these are quite imaginative...but wearable??
<tbody>
SERIOUSLY???
Where did you get those shoes?
<tbody>
<tbody>
</tbody>
</tbody>
</tbody>
I actually kinda like these!!
Finally...
Hii ni mada nzuri kwani imekuja wakati muafaka ambapo watu wengi wanaweza kujitafutia mbinu mbadala za kupata maji kuliko kutegemea DAWASA n.k n.k. Msisitizo uwepo kwenye ushirikishwaji wa utaalam wa uhakika yaani wahandisi wa maji kuanzia awali (sehemu za kuchimba) hadi hatua ya kudhibitisha...
Leo ni wachagga, kesho ni wa _________ when will it ever end? Huyu amekuwa mvivu wa kufikiria, amepata taflisi ya mawazo ya maendeleo hivyo anatafuta majibu rahisi rahis ikiwa na kutafuta cheap popularity. Hatuhitaji viongozi wa aina hii katika TZ ya leo ambayo imejaa matatizo mengi yanayohitaji...
Wananazo rasilimali (resources) za kuwafuatilia hawa mafisadi ambao kwa muda mrefu (miaka nenda miaka rudi) wamekua wakihujumu coffers za nchi zao na kusababisha wananchi wao wawe masikini, lakini kwa vile na wao wanafaidika .........
NEWSTanzania Loses Name To Tanning-Salon ChainSEPTEMBER 3, 2003 | ISSUE 3934
ARTICLE TOOLS
Email
Print
Share
RELATED ARTICLES
That 'Full House' Episode Where They Meet The Beach Boys Is On Tomorrow At 3 P.M.
10.01.07
Massive Oil Spill Results In Improved Wildlife Viscosity
10.21.97...
Jamani hodi humu jamvini!
Huenda swala hili limeshaongelewa huko nyuma ... mimi sijui maana mie ni mgeni. Lakini ni katika kutafuta ufahamu. Je UTANI kati ya makabila ulitokana na nini? Japo dhana hii ina mwelekeo wa kizamani / wa kale ukizingatia juhudi zilizofanyika na zinazoendelea kufanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.