Naona timuatimua imeanza na Comolli akaja Daktari wa timu....Nilisoma sehemu M/kiti wa liver amesema hii timua inaweza kuendelea manake walikuwa na strategies, watawaondoa walioshindwa ku implement au ambao wameona ambao watashindwa kufanya hvy...So who's next......?
Nimeinstall application inaitwa signsis kwenye simu, kuna sehemu inahitaji kujaza/attach key, cert na sis nikitaka ku sign application ya helloox sa na nimejaribu kwa njia ya PC kwa kutumia PCsignSis na yenyewe inaleta habari hz hizo sa nimeshindwa niweke nini...au ka kutakuwa na njia nyingine...
Muda Mwingine Tuache Ushabiki Wa Kisiasa, So CDM Wapo Sawa Kwa Kila Kitu,.Mi Mwenyewe Ni Mwanachama Wa CDM,.Nimemcheki Ila Nilisikia Aibu Ya Kuendelea Kumuangalia, Hamna La Maana Alilochangia Zaidi Ya Kujiumauma!? Na Hii Si Mara Ya Kwanza Kuongea Pumba. Nadhani ndo Matatizo Ya Viti Maalumu, Af...
Hivi Kwa Nini Wizara Ya Elimu Pamoja Na Umuhimu Wake Ndo Wizara Inayoongoza Kuwa Na Mawaziri Wabovu Toka Enzi Za Juma Kapuya, Joseph Mungai, Magareth Sita, Jumanne Magembe Na Sasa Shukuru Kawambwa?! Af Mbaya Zaidi Wengi Ni Ma-Profesa Na Ma-Dk..Manake Sidhani Ka Kuna Hata Mmoja Aliyeacha...
Mdhibitishiwe mara ngapi!? Ka unataka kujua nenda mwenyewe ukaone,.hv 2 + 2 inayofundishwa Udom Njia na majibu yake huwa ni tofauti na vyuo vngine?! Ok ka ni chuo cha kata na elimu inayotolewa ni mbovu,.hamna mwanafunzi wa Udom aliyeajiliwa?! Mf mbovu ni mimi nina kazi ya Maana, na nimeipata...
Hy anayesema Kn post za kazi zilitoka waka xclude Udom ulidanganywa na nani!? Uliza kwanza toka Udom ianzishwe imetoa products mara ngapi hadi useme hawafanyi vizuri sokoni!? Hii ndo mara ya pili kugraduate na ambao wapo kwny soko la ajira ni graduates wa mwaka jana, wa mwaka huu hata...
Kwa Uelewa Wangu Kidogo Wa Economics Inabidi U disagree, sababu Uchumi Unaweza Ukawa Umekuzwau kupitia Sekta Ambazo Haziwezi kumsaidia Masikini Moja kwa Moja,.Mf Kupitia Madini,Utalii nk
Tru dat Mwafrika, Mbona kuna Maprofesa Na Madokta kibao hawajui hata kujieleza like Jumanne Magembe, Kapuya, Kawambwa na Mary Nagu, so chuo kuwa na Ma Dk au Maprofesa Wengi sio issue, je wanaweza ku deliver?
Jk, lowasa, chenge na mafisadi na viongozi wabovu kadhaa, hivi wamesomea chuo gani zaidi ya udsm!? Ubora wa chuo akili zako mwenyewe, na khs wanaosoma education kuwa na passmark mbovu, sio udom tu ni karibu vyuo vyote maana ni kimbilio la waliofell
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.