Sio vizuri kubana riziki za watu.Ukute ni bwana mdogo tu asiye na kazi sasa mnataka akaibe?Wewe kwakuwa una kijikazi chako ndio unajidai kuponda watu wanaojitahidi kujiingizia vipesa vya matumizi.Kama unahitaji hizo movies na una hela nyingi,fanya kama kumsaidia tu kijana wetu,atleast ameweza...
Hii problem nimeisolve jana tu!Tumia Blackberry desktop manager,ukiconnect simu yako utaambiwa update firmware ya simu yako,ukishaiupdate,kila kitu kitarudi sawa na appworld itaonekana!
Hii problem nimeisolve jana tu!Tumia Blackberry desktop manager,ukiconnect simu yako utaambiwa update OS,ukishaiupdate,kila kitu kitarudi sawa na appworld itaonekana!
Ahsante.Ndio inatibu mpaka Amoeba mkuu!Pia ukiwa na ulcers ya tumboni inayosababishwa na bacteria nayo huponyesha!Nasema hivi kwasababu kuna watu zaidi ya 4 ninaowafahamu wamepona ulcers na Amoeba pia!
Ahsanteni kwa wote mlioitumia dawa na kurudi hapa jamvini kutoa 'feedback'.Naona maswali mengine yanajirudia sana wakati nilishayajibu hapo awali.Kwa yeyote mpya anayetaka kuijaribu hii tiba,naomba ajaribu kusoma majibu yangu yote ndani ya uzi huu kuanzia mwanzo.Ukiona mtu anakuja hapa kubisha...
Nimerudi wakuu.Kuongezeka kwa hamu ya kula nadhani inatokea kutokana na aina ya minyoo uliyokuwa nayo awali.Nahisi hapo awali kabla hujanywa hii dawa ulikuwa unakula kwa kiwango cha chini sana.Tukumbuke kuna minyoo wasababishao njaa sana na wengine wasababishao shibe na kupoteza hamu ya...
Halafu na haya masuala ya kuchanganya na asali sijui limao nani kayaleta tena hapa?!!Hivi jamani mmeona maelezo yangu vizuri ama mnatunga tu na nyie yenu maana tusije kulaumiana baadaye ikitokea sumu!Nimetaja vitunguu swaumu peke yake,SIJATAMKA LIMAO ama ASALI!Sasa wewe kama unaamua sijui...
Ahsante mkuu kwa kutoa ushuhuda wako wa dawa hii.Kwa yeyote mwingine atakayepona asisite kuja kusema hapa ili watu wengine wasioamini wapate kuamini na kuitumia dawa hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.