Oooo!pole sana cku zote ukiona panya anatishwa kwa jiwe,then hashtuk anabakia ku2tizama jua shimo liko karbu,2lia na mwambie aendelee na hao ubaki na mambo zako.
Kupendeza kwanza ni sifa kwa mumeo lkn inategemea na aina ya mavaz kwan unapokuwa wfe of someone unatakiwa kuendana na hali coz unakuwa kioo kwa wanao swala"mama ukivaa min mwanao atajfunza nn"so kwanza mavaz mengine ni vishawsh kwa watu wengine kwa hiyo pendeza lkn kiheshima sio kuacha sehemu...
Si lazma tendo la ndoa badala yake waweza kumkumbata na kula denda lain after that wawza lala mkiwa wote pacpo vya chumban kwan ukizid hata afya yako itazoofka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.