mrs minel, shika neno hili nikwambialo na ikiwezekana andika tarehe ya leo hii ninapokueleza yafuatayo, HUYO MUME ULIYENAYE HAMTAFIKA POPOTE MWISHO WENU HAUPO MBALI MTATENGANA TU. Pole. Msaada wako ni Mungu tu!
Zukisa, napenda nikujibu kwa faida ya walio wengi. Swali lako ni zuri. Kwanza lile tu wazo la kufuga, hiyo ni hatua dhidi ya umaskini. Kwauzoefu, ktk harakati za ujasiriamali, jambo muhimu sana kwa kuanzia huwa ni WAZO. sasa hilo wazo ikiwa kwa bahati mbaya umemshirikisha mtu asiyekuwa sahihi au...
Mkuu nakosoa kidogo, dawa hii inaitwa KARANDALUGO (maana yake kutambaa juu ya fensi sababu ndiyo sifa ya huo mmea, unatambaa mfano wa mpesheni lakini vimajani vyake vidogo). Mmea huu ni dawa nzuri sana kwa wagonjwa wenye sukari. Dawa zingine maarufu ambazo hazijatajwa ktk orodha hii ni...
Hapa ccm haihusiki kwa namna yoyote, ni jitihada binfsi za Mh. Rais J.P.Magufuli usichanganye mambo hapa. Ni utekelezaji wa sera ya M4C ya Chadema ambayo yeye aliipenda akaiita Magufuli4Change. kuna M4C Lumumba?
Makubwa haya!!! sasa ile slogan ya tuwaenzi waasisi bado ina mashiko kweli! Na yule mwanasheria mkuu aliyetumia haki yake ya kidemokrasia kupiga kura ya hapana akafukuzwa kazi yuko wapi siku hizi
Ama kweli mke wa mtu kasahau kiapo cha uaminifu cha ndoa wakati akivalishwa pete tunayoiona!! yawezekana pia huyo dume anayenyonya juice ni mwanandoa! sasa tuseme mwisho wa sinema hii ilikuwaje baada ya wapenzi hawa kusisimka kimwili ukizingatia wako karibu na kichaka!
Mtoa mada kaanza kwa kusema 'habari alizozipata juu juu, kisha kamalizia kwa kusema hizi ni tetesi' Sasa nashauri wote mliokusanyika mtandaoni kujadili umbeya huu tawanyikeni mkafanye shughuli za maendeleo acheni kupotezewa muda sababu muda ni mali.
jMali, kiasi fulani uko sahihi kutegemea hizo tetesi za dictatorship dhidi ya serikali ya Rwanda ulizisikia toka kwa nani au chombo gani cha serikali hiyohiyo maana unasema hakuna chombo huru nchini Rwanda. Mimi si shabiki wa Rwanda kwa namna yoyote ila napendezwa mazuri yote yanayofanywa na...
Utafiti huu kwa nchi ya Rwanda, binafsi sina shaka nao, ningeshangaa kama ingekuwa kinyume! serikali ya Rwanda ni mfano mzuri wa kuigwa barani Afrika, taka usitake!. Lakini nafasi ya Tanzania na Uganda katika utafiti huu waTasisi ya Mo Ibrahim juu ya Utawala Bora Afrika, si sahihi kabisa! marks...
Wana JF, jana usiku ITV walionyesha kipindi maalum kikiripoti matukio ya askari wanyama poli kuua raia na ng'ombe wao kwa risasi za moto kupokea rushwa, viongozi wa serikali za vijiji wilaya za Ngara na Biharamulo kutumia vibaya madaraka, kuuza maeneo ya wafugaji kwa wahamiaji haramu toka nchi...
Kuku wa "kienyeji asili" andiyo lakini asili ya wapi? Tanzania, Malawi, Msubiji au nchi nyingine yoyote ya africa, maana hawa wote ni asilia wanaotofautiana tu kwa sifa flaniflani kutokana na nchi husika mfano wengine wanene, wanataga tu hawaatamii, wanataga na kuatamia, miguu mirefu n.k...
Naomba kujua ili twende sawa. Huyu HR ni yule alokuwa akishabikia wabunge wa CDM kufukuzwa bungeni ili yeye na wenzake waunde kambi rasmi ya upinzani bungeni, au ni mwingine huyu? na kama ni mwenyewe mbona alishahojiwa live kuhusu hatima yake baada ya kuvuliwa uanachama cuf akasema yeye si...
Kwani inakuwaje endapo gari lako limekamatwa katika tukio la ujambazi japo wewe mwenye gari hukuwepo katika eneo la tukio lakini ni gari lako.
Au tu kwa mfano tuseme ingekuwaje endapo kampuni hiyo ya meli mmiliki wake angekuwa ni Mh. Godbless Lema wa Arusha.
Pole sana ndugu zangu wa Jogoo shida ya maji imekuwa ya miaka yote hasa eneo la ukanda wa bomba la gesi kule juu kuteremka hadi kati. Jamaa zangu wanaishi huko kila wiki inawagarimu sh.45,000 hadi 55,000 kununua maji. Biashara ya maji huko imeshika kasi watu wanashangaa bomba kuu la maji la Ruvu...
Polisi.....Polisi.....Polisi.....Jeshi la Polisi Tanzania!!!! Kero tupu, makashfa yao makubwamakubwa ya kikatili kwa raia!
Natamani siku moja tupate serikali mpya iliyo makini, hizi kero zitabaki historia.
Hii tuhuma ni nzito serikali ilifanyie kazi. Watuhumiwa ni jeshi la polisi sababu chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.