Hizi episode zilikuwepo toka enzi ya Farao na wana Wa Israeli. Wakati yule mwanafunzi anapigwa ngumi na mateke kule Mbeya mawaziri wote walicharuka kuwa watawachukulia wale walimu hatua Kali. Wakati yule mama akichapwa viboko hadi akazimia na mimba ikatoka waziri Wa afya alisema atasimama...
Ndio maana Ndoa nyingi za kitanzania hazidumu manake watu wamebaki kuangalia Shep tu bila kufikria kichwani kuna nini. Wanaume tulio wengi tunapenda Shep tu hata kama ni jini.
Shown cartel nenda ukaoge maji ya chumvi baharini. Haya maneno ulinenewa hapa kutokana na ubaya wako na uchafu wako uliouleta hapa, hakika ni sawa na ulaaniwa na Mungu.
Yani wewe subiri kiama hakuna jipya tena
Akiwa mjamzito ulimwambia atoe mimba akakataa ili akinusuru kiumbe cha Mungu. Mda wote huo akiwa kwenye ujauzito ulimtelekeza na hakuna matumizi yoyote uliyotoa kwa kumjali. Leo unakuja na mada eti unadhulumiwa haki yako, tena damu yako. Ningekuwa mimi ndie mzazi wa huyo binti unakuja kwangu...
Shetani yupo hivo yawezekana kuna nguvu za giza zitokanazo na shetani zinakufatilia. Nakushauri usimame katika kumwamini Mungu hakika atafanya jambo juu ya maisha yako na hiyo hali itatoweka kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.