Waliosoma nje ya nchi na wakiwa wametoka tz na diploma walisoma masters kwa miaka mingi kidogo ambayo inakuwa imechukua degree humo ndani na nchi hii ni wengi tu zaidi walisoma Urusi.
Kama unauwezo huwezi soma shule na chuo?
Spika Msomi Dr. Tulia anasema Yeye anasimamia kanuni zilizopo na kanuni hizo hizo zinawapa wabunge nguvu ya kukata rufaaa iwapo tu hawakuridhika na maamzi ya spika.
Mimi najiuliza nini kinafanyika Mbunge msomi Lissu, Mdee na wenzao wasipinge Kama walionewa?
Mbona wanakimbilia kumsema Rais...
NANI HAJAMWELEWA MWENZAKE?
Mambo ambayo yametokea nchi hii kwa juma hili yanaonekana kuchanganya wengi nami yawezekana ni miongoni mwa kundi hilo ambalo limejichanganya. Baada ya kufuatilia japo si sina nimegundua yafuatayo:-
1. Kundi la wanafunzi toka St Joseph lilirudishwa nyumbani kwa kusoma...
Hilo ni fumbo ambalo hatulijui kwani nani anajua amehusika vipi kuisaidia serikali kujua uovu au katumia mwanya kujinufaisha. Huenda najiuliza hivi board kuvunjwa ni kiashiria cha wana board kuwa waovu? Na spika harusiwi kuwa mjumbe wa board? Baada ya kujiuliza hivyo nawaza tena Tulia mbona...
Hao wabunge wa ukawa walioshinda ndo wameiba pia au ndo wababe, kwani ile idadi ya madiwani 1020 kwa 200 imetoka wapi. Huo ni ushabiki wa mihemko na siyo fact
Mungu ni mwaminifu, elekeza maisha kwake wakati huu pia usiyape manunguniko nafasi bali kumshukuru Mungu na kumwomba akupe busara za kuishi kwa Aman na kuwasidia wengine kujiepusha na uzinzi kabla ya ndoa pia kuwa waaminifu.
Siku zote naamini kondom ndo zinatumaliza ila Bwana anaweza kutuokoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.