Dar es Salaam. Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) has directed mobile service providers to adhere to the law when reviewing their tariffs following a recent change of bundles that concerned the public.
The regulator also asked the operators to file the tariffs with it before...
Eastern DR Congo has been plagued by violence
for years
The Democratic Republic of the Congo has
launched an attack against Rwandan Hutu rebels
in the east of the country.
Ministers had previously pledged to target the
FDLR militants after they failed to meet a
deadline to disarm last...
Watakaoumia ni wanyarwanda wenyewe,kwani ninachojua hakuna mfanyabiashara anayepata hasara hata siku moja! hivyo kama bidhaa kama zinapelekwa Rwanda bei ya bidhaa zitapanda tu!
Hili tangazo liliwekwa hapa JF tangu april! Lilisomwa na kujadiliwa hapa! Inawezekana hukubahatika kuliona,cha msingi waraka mpya wa mshahara unaosemwa umesambazwa kwenye halmashauri uwekwe hapa tuusome! Tusiweke post zisizothibitika!
Naomba ushauri wa kitabibu juu ya ugonjwa wa UTI. Mi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28. Kwa miaka miwili sasa nimekuwa nasumbuliwa na ugonjwa huu. Na nimekuwa natumia dawa mbalimbali bila mafanikio. Naomba ushauri wenu!
Wilson Elisha Nkhambaku ameteuliwa na JK kuwa mkuu wa wilaya ya kishapu na jina lake ni la 62 kwenye orodha ya wakuu wa wilaya.Kijana huyu mwenye umri wa miaka 37 alishinda kura za maoni kupitia CCM nakupata kura 3499 dhidi ya mbunge wa sasa Mohamed Missanga aliyepata 3433 lakini akaenguliwa na...
siku ya wafanyakazi,bendera za CCM za nini uwanjani? Au kuna chama cha wafanyakazi wa CCM kinawakilisha? Siku ya leo kwa maoni yangu ilitakiwa isiwe na itikadi kwani kuna baadhi ya wafanyakazi ni wanachama wa vyama vingine vya siasa.
yahya! Nchi inahitaji overhaul ya system nzima, hakuna mtu mmoja ambae tunaweza kumhold responsible kwasababu pesa inapita kwenye mikono mingi sana "sign nyingi sana mpaka pesa kufika kwenye kazi husika"
Wana jf,sina imani na ujio wa James Ole Millya CDM. Anaweza kupandikizwa na magamba ndani ya CDM baadaye aje asaidie kuisambaratisha CDM kama walivyoifanya NCCR-MAGEUZI baada ya uchaguzi wa 1995 na kupelekea Mrema kukimbilia TLP baada ya kupandikiziwa mamluki.Wanajanvi mnasemeaje hili?
walalamikaji haohao walifungua kesi mara baada ya uchaguzi na kesi ilifika hadi mahakama kuu kanda ya kati ambapo lissu aliibuka mshindi.gharama za kufungua kesi ya uchaguzi mahakama kuu ni 200,000/= lakini lakini ukilipa pungufu kesi inaendelea.Lissu alisimamia hoja kwamba walipe gharama ya...
Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi na ubunge wa mh. Tundu Lissu imenguruma tena leo baada ya kuahirishwa jumatatu 12/3/2012.Jaji MZUNA alitupilia mbali madai 7 ya walalamikaji(selema na paskali),kamtaka Lissu hoja 6 na kuwataka walalamikaji wathibitishe madai yao 6.Baadhi ya hoja ambazo Lissu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.