Nathani uwe mtafiti kwanza kuliko kubwabwaja hayo unaposema wabunge hawakai majimboni?nonsense,wenje yukn jimboni na kabla ya kikao alikuwa jimboni the same 2 mnyika mpaka watu wakakamatwa bada ya kuzuiwa mkutano wake.kwa hiyo itendee haki jf kuwa critical thinking of ur threat pliz
Huyu mtu anatumia kichwa cha chini kufikiri,badala ya kusema ccm imeamua kuwaadhibu wananchi wake anasema cdm ndo wameamua kuwaadhibu wananchi kweli huyu masaburi
Mm ni huyu chiligati ameshindwa kulisaidia jimbo lake.wanafunzi wanakaa chini,maji ni kero.wanafunzi wanalala chini,kibaya zaidi ana mtoto wa kaka yake anasoma pale shuleni chikuyu.kwake ni mita 10 na pale shuleni lakini sijawahi kumuona akiwasaidia kwa hilo.ashame on them these guys (magamba).
Ukiwa nje nadhani watu wengi watakuwa na msimamo hasi ju saut lakini binafsi si makazini tu ila hata ktk sehemu mbalimbali nimeona product ya saut imekuwa marketable sana,hapa kwetu mkurugenzi anasema angekuwa anaajili yeye anawapenda sana product ya huko,naambiwa wanasoma vitu vingi kuliko vyuo...
ebu kuwa muazi wewe ni magamba bila kusita.ndugu ukiwa nje ya system nchi yeyote nchi lazima useme hivyo,ila ukiwa ndani ya system lazi uwaunge mkono chadema.naomba sababu tatu za kuwaita cdm ni wahuni?
Mimi binafsi nadhani kama atakuwa kwenye mawazo yangu ndo mda muafaka wa kufanya utafiti makini kwa wale ambao wamebambikizwa kesi na wengine mda mrefu hawaja pata hukumu za kesi zao na kutoa hadharani kama waziri mambo ya ndani kivuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.