wewe unamatatizo, kubali yaishe ujana umeshakupa mkono kuwa kama baba wa familia mambo ya utoto na ujana yameisha kubali majukumu.............mtu mzima hovyo kabisa unapenda kuchezea vibinti vya watu .....ndoa si kunanihii tu lazima ukubali yote, mkeo amekuona wewe ndio umebdilika hasa kwa hao...
haya ya chumbani mwa watu haya kuhusu, je hawa wabunge wanajadili au wanatekeleza kile walichotumwa na wananchi hilo ndio la kujadili...................
Baada ya adha na bugudhi za muda jioni ya leo kutafanyika uvamizi kwenye hiyo yard kuwatia nidhamu wahusika, kama una gari lako mule kachukue mapema.........
Mimi nimeoteshwa aina ya ndege ni gulf sijui nini vile kwani jina lake nileona gulf na kama mkondo wa maji vile ilikuwa inachangnya kidogo ile ulikuwa msiba wa aina yake kwani hata bendera zilipeperuka nusu mlingoti kwa muda, watu wakawa hawaelweki?? jeshi likawa kama lina asi vile in short was...
haya baada yakutafakari muelekeo wa siasa za nchi yetu ninahisi kuwa kuna uwezekano wa uhusiano wa Jina la kiongozi na hali ya nchi, kwa mfano Nyerere na swala zima la ujamaa jina likiwa na asili ya nyenyere wale wadudu wadogo. Vile vile Mwinyi alivyokuwa kuwa mzee wa ruksa kama umwinyi unavyo...
Rostam anakesi nzito ya kujibu ni raia wa kigeni aliyekuwa anawekeza kiujanja sasa tunaanza kumkata kodi zote ngojea nikafukue ile post yangu niliyosema kuwa alikuwa anatakiwa alipe kodi ya mabaillion afisa wa TRA aliye tathimini biashara zake alifukuzwa kazi akaendelea kulipa kiduchu
Jamani wakaka naombeni tujadili hoja sio kun inbox mia anaume yenyewe mijoga hata maandamano haishiriki hehehehehe. I am serious don't inbox me bad stuff
sasa unacheka nini hujui naniliu atakuwa mzee 2015 ndio maana anataka apige faul mapema he he he hujui nini hapo.....kwani umesahau kikao cha sullivan arusha hehehehehehe kijan kuwa uyaone anatumika hapo sijui anautaka uwaziri gani blal fuu
huyo ana bifu la kukosa viti maalum kipindi fulani sasa kilimuumiza sana, na kingine ana uchu wa madaraka na mnafiki, pia ni pro naniliu yule naliuu yule mamvi, halafu ni kiburudisho cha kabwela alishawahi kuita mkiburudisho wake hadharani. nini tena unataka kujua???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.