Angalua hapo tofauti ya Obama alipokuja TZ na Leo Kenya. Mengine mtasema wenyewe naona watu wanataka kukataa ukweli na kupotosha
https://www.youtube.com/watch?v=LQrep2xF4bg bongo alipokelewa akashiriki sherehe za uwanjani then akapigiwa mizinga 21 nk
Sasa hapo Bar ikuwapi mbona haionekani? Tunaona gari tu. Kama ilikua ni hotelini walipofikia tutajuaje? tuonyeshe bar lasivyo huu ni umbulula tu na kuwashwa sehemu zisizokunika
"Ni lazima jamii ikatambua kuwa maamuzi haya yanahusu CCM ambayo ipo madarakani
ambapo matokeo yake ni kuvunja Serikali na kwa CHADEMA ni kuwaondoa wabunge wake hivyo uchaguzi kufanyika tena.
Kauli hiyo imetolewa na Msajili wa vyama vya siasa ikiwa ni siku chache baada ya kutokea kwa mlipuko...
Unakumbuka nani alitoa kauli hiyo ulosema kwanza. Unakumbuka habari hii baada ya bomu la Soweto "Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa,
amesema uamuzi wa kuvifuta vyama hivyo unaweza kuwa na athari kubwa kwani
utahitaji gharama kubwa za kufanyika uchaguzi jambo ambalo sio la...
Kina "Ritz" ebu tujuzeni Obama alikuja fanya nini Tz? labda tutaweza jua nani mkweli na nani mzushi coz naona huku wengi wa aina yako mnamshambulia lema as a person badala ya kuzungumzia hoja yake. Hebu tupe ukweli mkuu ili kina "Lema" waujue ukweli
le Mutuz unatuambia nini baada ya kugundulika habari yako ulileta kishabiki zaidi na haikiua na ukweli kwani aliyejiunga ni "mpiga debe" na si meneja wa kampeni wala Katibu wa wilaya? Kwanini usichukuliwe hatua za kinidhamu za JF kwa kuleta habari ambayo huna uhakika nayo?
kueekea 2015 tutaona na kusikia Mengi. Kama asemayo huyu jamaa ni kweli kuna kila sababu ya "kuasi". Sasa naanza amini yale niliyosikia kutoka kwa jamaa mwingine kuhusu Bomu la Arusha. Daaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.