Habari!!
Nina Samsung Galaxy S6-Edge ya T-mobile ghafla tu ikanipa error kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini.
Nikajaribu kugoogle hilo tatizo nikaona kuna kuiflash nikafanya inamaliza lakini kila ikiwaka inarudi hapo hapo, Mwenye uelewa na hilo msaada wake jaman
Natanguliza shukrani👏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.