Search results

  1. M

    Nisipojiangalia kwa hili nahisi sintoshuhudia uchaguzi mkuu wa 2020

    roho inaniuma,roho inaniuma, roho inaniuuma..... lakini ni shujaaaa kiukweli.
  2. M

    Mifuko ya kustaafu iruhusu mtumishi kukopa 1/4 ya fao lake

    nikisoma huu uzi nikajua ni tamko la mwenyekiti wa mifuko wa hifadhi ya jamii amesema, kumbe ni mawazo yako mkuu...!!! mimi naona mawazo mazuri sana, ila sioni nafasi yake kutokea...this is Tanzania
  3. M

    Zanzibar: Rais Shein aongeza mshahara kwa asilimia 100

    Sijapata msikiza Rais Mteule, ila kama amefanya hilo, HONGERA kwa kuwakumbuka Wanyonge kwa vitendo.
  4. M

    Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara

    njaa bado haijakuwa njaa..... watu wanaona viashiria vya njaa, ongezeko la bei za vyakula, upungufu wa mvua na mvua kutokunyesha kwa wakati ni baadhi tuu ya mambo ambayo ni lazima tuchukue tahadhari kabla ya hatari(njaa)... madiwani wamesema katika baadhi ya maeneo jamani,, najua mweshimiwa...
  5. M

    Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara

    kukumbuka ni juu ya maswala yaliyopita / watu waliopita / matukio yaliopita.... kukumbukwa yaweza kuwa kwa mazuri au mabaya au kwa nafasi yake hata bila zuri wala baya ,, tutamkumbuka tu....!!
  6. M

    Dkt. Slaa: Ninapokubaliana na kutofautiana na Magufuli

    naamini kila mtu anajua watu wanaitwa ma MC (Master of Ce lemony ), ni waongoza matukio mbalimbal,i maarufu sana kwenye maarusi hapa nchini kwetu licha ya kuwa wapo hata kwenye misiba. mimi ninawafahamu kuwa wanafanya kazi ya ujira, na katika sherehe kazi yao kubwa ni kupangilia maneno na...
  7. M

    MAUTUNDU: Namna ya kusoma chat za mwenzako za WhatsApp bila yeye kujua

    HANA FAIDA NINI.....? KUJUA UKWELI AU NJIA YA KUTUMIA KUUJUA UKWELI....???
  8. M

    Freeman Mbowe akitema mayai kwenye kikao cha conservative nchini Dernmark

    NYERERE ni diamond /gold / B52 / NUCLEAR na vyote vya thamani kwetu....Mtu mwenye uthubutu / utu / msimamo na kilichopita yote kwa viongozi wa leo,,,, ni nia na dhamira ya dhati ya ukombozi wa mtanganyika baadae tanzania na Afrika.... tafuta umjue vizuri ,usinge uliza nakwambia.
  9. M

    MAUTUNDU: Namna ya kusoma chat za mwenzako za WhatsApp bila yeye kujua

    Zipo maswala Binafsi za familia au kazi mtu asingependa mtu mwingine yeyete azijue, lakini kwa sehemu kubwa ni usaliti.... unataka kuchit at the same time uonekane malaika..... umwongopee mtu na akihoji umkolomee , eti uniamini.... kuwa mkweli na mwaminifu, acha kuchati ujinga ujinga...
  10. M

    MAUTUNDU: Namna ya kusoma chat za mwenzako za WhatsApp bila yeye kujua

    Ukweli siku zote umweka mtu huru jamani,,, uwoga wa nini...??? mbona mnapenda kudanganywa et,, unakuwa mtumwa usipotaka kujua ukweli..... jambo la msingi kabla ya kutoa kibanzi kwa jicho la mwenzio, ondoa kwanza boriti lililo kwenye jicho lako, ndipo uone ni vema kuendelea na huo utaratibu...
  11. M

    Ushauri: Alinikimbia na kuniibia vitu ndani, sasa anataka turudianae anadai anaumwa

    MIAKA 25, bado mdogo kijana....na wenzako ktk umri huo tulikuwa tunapapara kama wewe... mda huu tunaulizwa mbona kimya kijana....sio kwamba dhamira imeyayuka ,,no,no... ila tunaona mbali kidogo.... hatuwazi kupenda tuuu, tunapredict na destination..... go and ask ur mom again...,she will not...
  12. M

    Ushauri wa bure kwa Rais Magufuli kuhusu Air Tanzania

    nadhani taaluma imewekwa kando, na hisia imeamua juu ya hili......mimi naogopa sana hili swala...!!! tafiti zilifanywa lini...??
  13. M

    Ushauri wa bure kwa Rais Magufuli kuhusu Air Tanzania

    Ninasikitishwa kusema SIJAFURAHISHWA na ununuzi wa NDEGE na SITAFURAHISWA nao kama BAJETI ya 2016/2017 INAVYOUZUNIKA kwa kufanyiwa ndivyo sivyo.... kwani tunashindana na nani katika hili la ununuzi wa ndege....???!! jambo hili ni dharura....??? kwani hizi mbili (2) zinapaform namna gani...??/...
  14. M

    Kuwa Balozi ni lazima uwe kada wa chama tawala?

    ni lazima au si lazima ndiyo majibu mawili pekee katika swali lako..... Uuu lazima wa jambo mara nyingi ni swala la kisheria, tena kukiuka inaweza kuwa ni kosa kwa mujibu wa sheria husika...!!! mimi sijaona hilo swala kwenye katiba yetu ijapokuwa sijasoma kurasa 1/1 tokea uchweo mpaka...
  15. M

    Kuanzia leo sili tena kuku, nimekuta sindano kwenye mfupa wa kuku

    mtoa mada na aje tuuu.....aje na ajibu maswali yote ya msingi anayoulizwa....!!!! unajua maisha ya Mtanzania yana hofu nyingi sana , na hakika zinatutosha kwakweli.... unataka utuongezee na hili.....?? njoo na utuambie yafuatayo ; huyo kuku ni wa kununua au mnafuga nyumbani yenu....?? kama...
  16. M

    Wanawake mmekuwa wachafu sana siku hizi

    nadhani ni ishu za kuelekezana tuuu.... mkuu umewapasuampaka huruma yaniii, mawigi ni kikwazo.....
  17. M

    Jarida la New African lamtaja Rais Magufuli ‘Person of the Year’

    wajuvi wa mambo ya fedha na uchumi , Kwenye somo moja hivi linaitwa M.A (managerial Accounting ). kuna topic flani hivi inahusisha maswala ya uchaguzi na maamuzi ya uwekezaji ( decision making criterias ) kuna vile wanaita ; MAX-MAX ( choose the BEST out of the BEST alternatives ) na...
  18. M

    Arusha: Yaliyojiri kutoka mahakamani, rufaa ya Mbunge wa Arusha G. Lema, anyimwa dhamana

    kila jambo uanza na dhamira...... dhamira NJEMA au dhamira OVU... Hii dhamira iwe NJEMA / OVU, ndiyo haswa hutoa taswira yake wakati wa utekelezaji wa jambo au matokeo ya jambo usika..... wakati wa utunzi wa sheria lazima kuwe na dhamira ya sheria usika(intention to) , kwa mfano : ukitunga...
Back
Top Bottom