Nashindwa kuelewa toka juzi shilimgi ya tanzania imekuwa ikishuka kwa kasi ya ajabu lkn kifika leo mida ya sa 10 ikabadilika hadi kufikia sh 1600 Kwa dola 1 Wakati ilikuwa 1875 Asubuhi,jamani nani anachezea uchumi huu,ni watu kiasi gani watakuwa ameingia hasara kwa siku izo silizo pita,yani apa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.