Asante sana kwa wazo lako na kunipatia link hii ndugu yangu,nimeitembelea kweli nimeona wana mambo mengi sana,ila naomba nikuulize kitu mkuu,je hizo tray za mayai shemeji yetu zinamlipa vizuri?nimeipenda hii,lakini sina uhakika na mkoa ninaoishi kama itakua ni biashara nzuri!asante
Wadau asanteni sana kwa ushauri wenu,ukweli nimepata mwanga kidogo wapi naweza kuanzia,nimependa ushauri wa machine za kusaga mikoani na huyu mdau alienipa wazo la kutembelea tovuti ya Zhauns - Business Opportunity Machinery nawashukuruni sana wandugu
Wadau habari!nakuja jamvini hapa kuomba ushauri wenu. Nina wazo la kununua machine ndogo kwa ajili ya production,budget yangu ni kati ya 5m/= mpaka 8m/= kwa ajili ya ununuzi wa machine hiyo,ila katika wazo langu nimekosa kujua ni machine ya kitu gani hasa ambayo nikinunua bidhaa zake hazitakua...
Poa mkuu,mimi nitahitaji tray tatu tu,ila ni by mid of october,maana kwa sasa niko nje kidogo,na ukweli nimeonja nyama ya hawa ndege,dah ni balaha,ila mayai yao ndio sijafanikiwa kuyapata kwa huku nilipo sasa (U.K)nataka nije nitotoleshe nianze kuwafuga mkuu,nchi yetu Tanzania ni nzuri sana na...
Mkuu vipi mayai bado yapo?nilikua nasoma faida za quails eggs kimataifa,dah ukweli haya mayai ni muhimu sana kwa afya zetu,je kama bado yapo tray moja unauzaje mkuu?na unapatikana wapi?
Mkuu hizi nyanya za kiangazi nasikia zina changamoto zake hasa katika madawa,ila ukifanikiwa kuvuna ni kua umepiga bao!ngoja waje kina Malila na Kubota watatoa shule ya uhakika hapa!
Siku inakuja ambapo watu watachagua kifo kuliko fedheha na ole wao wale watakoiona siku hiyo! Na ole wao wale watakaoifanya siku hiyo isiepukike. Natumaini na kusali kuwa siku hiyo kamwe haitofika Mwalimu Julius Nyerere (Januari, 1966)
Wadau habari,jamani ndugu zangu nimekuja hapa jukwaani kuomba ushauri wenu,nina mwanangu ana miaka miwili,alikua hospital wiki iliyopita na alilazwa kwa siku tano kwa ajili ya malaria na asthma!wakamtoa siku ya jumamosi na kurudi nyumbani!cha ajabu toka jana usiku,mpaka hivi sasa mtoto analia...
Mkuu Kubota,kwanza namshukuru sana mkuu Kapuku83 kwa kuweza kugusia juu ya uwezo na uelewa wako katika fani hii nawe kuweza kujitokeza na kuleta mawazo yako hapa,kwa kweli mkuu Kubota nimepata somo la kutosha na lenye mapana makubwa toka kwako,nashukuru sana tena sana,maana sasa nimepata mwanga...
Asante kwa kunifumbua macho mkuu,itabidi nijifunze zaidi juu ya zao ili pia,maana nalo sokoni linahitajika sana!nikiwa na nguvu nitajaribu piga yote mawili at once
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.