nimegundua kuwa watu tunatofautiana kufikiri hivyo c kosa lako ungejua ukisemacho hata kichaa hawez kusema. CHADEMA endeleen mckate tamaa tupo pamoja na ktk ukomboz visiki ni kawaida hivyo jitahidin k kuvivuka. pia endeleen na mapambano.
c kupungua kwa umaarufu ila naomba ifahamike kuwa CHADEMA na wafuas wake wana mikakati yao na mwisho wa cku ukwel utawekwa wazi. we ulituma habar hi huna matumain mema na CHADEMA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.