Hapana sio sahihi. Harmonize ametoa hits zipi za kufanya WCB ionekane imefifia?. WCB wanaendelea na utaratibu wao vizuri tu. Harmonize ndio kafanya maamuzi ya hasira. Ameamua kujisimamia lakini ameenda kwa mtu ambaye sio tu alishindwa kujisimamia kwenye bishara zake ni mtu ambaye hana na hajui...
Hizi ni dalili za wazi kuwa Mkoa Mpya upo mbioni kutangazwa na hapo patakuwa makao makuu ya mkoa huo, kutii kiu yake ya muda mrefu kutaka Chato kuwa makao makuu ya Mkoa.
wengi wanatazama suala la israel/palestina kwa mlengo wa dini zao. Historia yao inajieleza na jumuia ya kimataifa iko biased kiasi kwamba haiwezi kumaliza tatizo hili nadhan UN partion plan ya mwaka 1947 itazamwe tena na solution ipatikane. Kama dunia haikupenda NAZISM basi na ZIONISM sio ya...
Contradictions umezijenga wewe. In layman point of view how come dini yenye contradictions iwe the fastest growing on earth. Hukuelewa ulichokisoma ulipaswa kuuliza wanaojua. Upeo wako bado duni kwenye masuala ya dini.
mtoa mada na baadhi ya wachangiaji wenye mihemko ya Udini, chungeni ndimi zenu usiwe mwepesi wa kurusha tuhuma za udini kama hupendi udini, yawezekana una lengo zuri kutujulisha anachokifanya lakini kuchochea udini sio. Kila mtu akimtuhumu kiongozi kwa imani yake jamii hatutaelewana, tunaishi...
una ushahidi gani, au ndio wale wale mnapandikiza chuki kupitia dini?, mtendaji akiwa fisad mnapiga kelele, muadilifu mnampigia kelele, tunataka watendaji wa design gani?. Ndio maana katiba inatushinda we are all corrupted minds
at least lissu kaonesha namna ya kufanya utafiti kabla ya kuongea, anatoa hoja badala mumjibu kwa hoja mnaongea majungu tu, we ndo unajua elimu yake?, kwa utendaji kazi wake anaweza pata kazi popote pale.
watu wanafikira potofu sana, member wengi wanaolalama udini wao ndio Vibaraka wa udini, akiteuliwa mtu wanahukumu dini yake badala ya vigezo stahiki, Ni ngumu sana kuongoza watu wa fikira za namna hii.
Fikira potofu hizo, yaani suala la familia mnalifanya la taifa, ushaambiwa watu walikuwa wengi, lakini kwann muislamu akifanya jambo lake kiislamu umuone ni mdini?, ulitaka awaalike makanisa yajae? Shughuli binafsi mtu anaifanya vile atakavyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.