Search results

  1. N

    Vurugu Umbwe-Lyamungo: Miaka 12 baadae

    Ni MILAMBO sio Mirambo. TUliwapiga sana Tabora Boys. Kuna siku ilikuwa Jmosi tuliwachapa yaaani tuliwavamia kwao then Jpili tukaenda kusali Joint-Mass, Ilikuwa Mwaka 1999-2000, nilikuwa EGM Form Six
  2. N

    Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

    Architect Besha bado hajapata PHD au ndio anafanya PHD, na mfahamu ni Collegue mate wangu, alifanya kazi Land Plan -Icon Aerchiects now called Epitome Architect Limited. Prof Mosha was by then Director of K&M Architect LImited a prestigious Architectural Firm now own and directed by Arch Albert...
  3. N

    Waziri wa Afya Uingereza aambukizwa virusi vya Corona

    Minister-'Nadine Dorries' she is so Cute and beautiful, nimempenda sana
  4. N

    Tarehe ya jana (02.02.2020) ni "rare palindrome"

    Vipi kuhusu 03.03.3030
  5. N

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nipo Mtwara Ukifika Ni PM nikupe Connections, GR 7, Shooters panahusika sana
  6. N

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    NILIVYOKULA TUNDA LA ASKARI POLISI KIMASIHARA Na mimi baada ya kusoma uzi huu, kwa mara ya kwanza naomba nieleze namna nilivyokula tunda kimasihara. Ilikuwa hivi; Ilikuwa mwaka 2016 mwanzoni, ofisi yetu ilikuwa maeneno ya karibu na geti la kutokea hospitali ya Muhimbili(Maternity ward gate)...
  7. N

    WhatsApp Kutofanya Kazi Baadhi Ya Simu janja December 31

    Mimi yangu ni Adroid Version 8.0.0, wakifika huku nishtue mpwa
  8. N

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    How about Preambles and Specifications
  9. N

    14-Oktoba-1999: Ulikuwa wapi?

    Utakuwa Ulisoma MILAMBO HIGH SCHOOL nami pia nilikuwa hapo Form six. Milambo tulifiwa na Mwalimu wetu(Nyerer alifundisha hapo sometime years back) Siku ile zilitafutwa some documents za Nyerere
  10. N

    Ili UDSM kiwe Bora, Ardhi University na MUHAS zirudishwe UDSM

    Nadhani wewe ulisoma Land surveying (Geomatics), mimi Nilisoma Building Economics na nilimaliza Year 2005
  11. N

    Taja Guest/Lounge uliyowahi/ulizowahi kuhudhuria (Include na Location iliyokuwepo)

    Kuna KIBADAMO LODGE ni nzuri sana hasa ukipata vile vyumba vya jengo la Pili ambapo hamna lift, ukiwa na mateka wako mnafungua madirisha mnapata hewa nzuri huku mki-view ubungo bus stand, ni Tsh 30,000 tu. MIC Hotel ni nzuri kwa vyumba vya Tsh 40,000 na kuendelea, nina mateka wangu anatokeaga...
  12. N

    Wanawake 10 Mahiri Kuwahi Kushika Nyadhifa Kubwa za Kisiasa Duniani

    Umemsahau Mkuu wa wilaya ya Kisarawe "JOKATE"
  13. N

    Jamani nipeni jina la series latest ya kuangalia kesho

    Queens of the South in nzuri sana inahusu mama mmoja Kuwa kiongozi wa genge la Wauza Madawa ya kulevya
  14. N

    Jumba refu zaidi Afrika Mashariki lafunguliwa Tanzania

    huyo hajui anachoandika" ndoo 4 za mchanga"
  15. N

    Jumba refu zaidi Afrika Mashariki lafunguliwa Tanzania

    Jengo lililopo just oposite la TPA ndio litakuwa refu zaidi, am the wa of team
  16. N

    UDSM sasa kibadilike na kiruhusu andiko la kitaaluma kwa Shahada ya Kwanza

    Sisi tuliosoma UCLAS by then tulikuwa tunafanya research semester yote ya mwisho. Ndio maana product ya UCLAS by then ikienda Masters UDSM walikuwa Wanafaulu sana
Back
Top Bottom