Mimi Mzee wa kilanjelanje kule Kwetu tunajua ya kwamba mambo Kama haya yamekuwa ya Kawaida na hap a Kwetu yalichelewa Sana. Sasa Wewe ndugu yangu unajua hataa shamba la ming'oko linaongegzeka thamani Kila Mwaka - kwa NYUMBA ndio balaaa- kwa tanzania, mabenki yamekuwa yakitoa Mikopo bila security...
Nduguzangu nadhani inabidi tufanye research kidogooo kwa kumbukumbu zangu Ni kwamba sheriaa ya upangaji Ilishabadilishwa - mwenye NYUMBA anapaswa Kutoa notice ya Mwezi mmojaa tu. Kama wapangaji wengini - inabidi tuulize Hawa watu wamepata notice ya Mwezi mmoja? WanApisha shughuli za Maendeleo Ni...
Ndugu Wana jamii nimekuwa nikifatilia hoja hii ya shirika la NYUMBA, Mimi nimekuwa nafatilia mikakati yao kwa sababu nimejipanga namimi kununua NYUMBA - nimekuwa nikimsikia Mkurugenzi MKUU - Bwana Mchechu akiongele mpangoo mkakati unaonyesha Ni jinsi gani shirika limejizatiti - unaonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.