Kaka hiyo ni tatizo la processor ina over heat, so chakufanya install ubuntu 13.04-desktop-i386 itasaidia kwasababu haitumii processor sana kama win 7. Ila inaweza isizime mda wote au ikazima baada ya mda mrefu.
scan pc kuondoa virus kwakutumia strong antirus kama Kaspersky na iwe updated 100%
Install only one anti virus app kwenye pc yako
Safisha windows yako kuondoa temp files. etc by using software like Ccleaner.
Unistall unused softwares by using Revo Uninstaller
Disable same startup programs
Repair...
check fan ya processor km inazunguka, na speed yake inalidhisha inaweza kuwa kunavumbi jingi kwenye fan au hit sink au processor ambalo linaweza sababisha processor haipoi sawasawa na kupata joto kali inayopelekea laptop kuzima.
Hilo dili la mdamrefu sana mbona inaonyesha
CompleteName : x .x x/VID-20121228-00005
FileName : VID-20121228-00005
FileDate :28/12/2012
Ndo ilitengenezwa?
uliinunua ikiwa hivyo? Km ulinunua ikiwa hivyo warudishie wenyewe. Km uluweka bila kufahamu nini unafanya tafuta mtaalam wa laptop aa flash bios setup na mambo yatakuwa safi kabisa.
Wabongo matatizo sana,mi ndo siku yakwanza kuingia jukwaa la kisheria, nikaona hii mada nikapenda niangalie nitajifunza nn kwenye hii mada kwan kiukweli siko dip maswala ya sheria so nikaona nitajifunza kitu badala yake ni mafunza tu. Mtu ameuliza badalaya kujibu inavyotakikana unakuja ubishi wa...
Yap ziko nyingi sio playonlinux pia kuna wine n.k. Ila c friend user km windows kaka.ni rahisi kidogo kwa mtu ambaye ananokNwoledge na mambo ya IT OTHERWISE NI MZIGO.
ni ngumu tofauti na windows pia inatumia commands kufanya installation za software zingine tofauti na window kaziyako kuclick setup na next and finish, kifupi iko complicated zan windows.
Unataka site za kudownload muvi au unataka kudownload muvi kwa kutumia IDM through Proxy au?
Nadhani proxy kwako siyamuhimu, ila naweza kukushauli utumie Free Download Manager (FDM) ni nzuri sana kwa kudownload large file.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.