kweli! Ukiona mtu mwenye afya njema anaendeshwa na gazeti la udaku kisa lina jina la kiarabu anafikiri ni hadithi. Hapa naziona akili ndogo wala hakuna ccm hapa!
waache wafu wawazike wafu wenzao! Al-huda endelea wewe unawajua wafu wenzako uliowaandikia! Kweli waislamu wanaingiliwa hata huyu mwenye akilu kama hizi ni kiongozi wa kiislamu hata siamini! Waislamu wenye ufahamu mzomeeni huyo....
Nilitegeme Mada hii Ingetufundisha sote, sioni kabisa sababu ya nyinyi kurushiana maneno yasio na staha.Ikumbukwe heshima na adabu ni moja ya mafanikio ya mwanadamu awapo duniani! Upendo daima! Forgive each other.
Moja ya mambo manne Hayati Mwl.Nyerere aliyo yazungumza ni 'Siasa safi' Siasa za unafiki zimeshamiri sana siku za hivi karibuni hususa ni kuelekea kuwapata viongozi wa nchi yetu, Wapo wachache kwa kweli nawapongeza sana kwa kusema bila kigugumizi kwamba wamekusudia kuwatumikia watanzania...
Jamani Tangazo La tigo linalorushwa ITV Mwanaume anatoka tuu kazi Mwanamke anauliza.."Umekumbuka kuja na zile Pesa" Huyu mwanamke Hajampokea, Hajampa pole, Hajala swali ni PESA. Chaajabu Mwanaume nae anaangaika kuliko maelezo kisa Bibie ndani.Take care Needs your comments please.
-Kitendo hiki hakipaswi kufumbiwa Macho na wazalendo wa Nchi yetu.
-Siku chache zimepita mapema wakati wa kupitisha makadirio ya bajeti Wizara ya Nishati na Madini, Mh.Olesendeka alihoji Juu ya sakata la IPTL na wasiwasi wake katika Utekelezaji wa Ahadi za Rais Mh.Dk.Jakaya kikwete katika Jimbo...
Kweli jamaani Taifa linaweza kupoteza Dira hususa tunapoona Mijadala inayoendelea ni ya kueneza matusi na kejeli kwa kuwa Mwanasiasa wa mlengo fulani amepotoka katika jambo fulani,Nasema hii haikubaliki kwa masilahi mapana ya Taifa letu hata JF.Naomba kukuhoji hivi unaweza kusema wewe ni Great...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.