Nimelipa kuunganishiwa maji tokea tarehe 29/05/17 Kwa ajili ya kuunganishiwa maji. Lakini mpaka leo sijaunganishiwa, nimeenda DAWASCO Boko nimeambiwa hawana mipira ikiwa tayari watanipigia.
Kama mnajua kuwa mipira haitoshi kwanini mnawaambia wateja walipe??
Naomba msaada wanajamvi, hasa wazazi wenzangu. Ninatafuta Nursery School/Preschool nzuri kwa ajili ya mtoto wangu wa miaka miwili na nusu (English medium) Ninaishi Mbezi Beach - DSM. Ninatanguliza shukurani zangu za dhati.
Jamani ninaumwa meno si mchezo. Ni hospitali gani ina huduma uhakika ya meno hapa Dar? Siwezi kuvumilia lazima
kesho niende. Tafadhalini nisaidieni !!!!
RIP dada Regia. Mwenyezi Mungu akupe nguvu dada Remija. Kazi yake haina makosa, yatupasa kumshukuru kwa yote. Bwana alitoa, bwana alitwaa Jina lake lihimidiwe. Amina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.