Huo ni uchochezi...je TUME kuchelewa kutoa matokeo ni uungwana eeh...na mtatukoma hata mkitaka kukaa hapo magogoni bila ridhaa yetu, tutawasema mbele ya umma wote wa duniani na mbinguni ili ijulikaane ubakaji wa demokrasia mnaoufanya
Kama na huyu anawaza hivi, ameridhika na mfumo wa utawala uliopo ambapo Chenge, Lowassa ni wateule aimradi Mramba alikataliwa kwa nguvu ya umma, BASI bado tuna safari ndefu ya kujikomboa KIFIKRA:A S angry:
Kuridhika kwako na mwenendo wa uchaguzi na matokeo yanavyotoka kunakutambulisha mlengo wako wa maono kisiasa na ili dunia iwe dunia, hata wa namna yako mtaendelea kuwapo
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kuainisha mambo na utashi wako unakutambulisha kuwa unafaidika na EPA wewe...leo hii unahubiri dini kwenye taifa letu..kama ccm inataka kutawala, itatawala lakini tutawaeleza ukweli kuhusu EPA, Richmond, BoT, mbele yenu mchana kweupe na hamtatufanya lolote
Shimbo, mwanajeshi anayefikiria kwa utashi mwepesi, alidai tukubali matokeo..yaaani hata huyu dada CCM wanataka kumuibia kura yake ili wabaki madarakani? hata huyu dada? hata huyu naye, hawaoni soo? hivi madaraka ni matamu kihivyo? Siamini ninachokisikia, ila wajue kuwa hata wao wana damu na...
THis You tube video clip will remain as a monument in the history of those irresponsible people who were given positions of trust and used them to please their boss regardless of the wananchi priorities..mbunge kijana mpuuzi kabisa kuwahi kutokea Tanzania, mwenye fitina na mlafi wa mali ya umma
Kwa habari zilizochelewa hivi, vema kuweka na takwimu ili watanzania tulale jamani, sijalala tangu jana pleaseeeee, kura za kawe na ubungo ni muhimu zieleweke wazi ili dar es salaam kieleweke kuwa tunajua nini maana ya mageuzi
Hakuna anayekufa kwa pressure kama mafisadi na recepients wa vijisenti vya mafisadi kama wewe maana siku yenu ipo tu kila kitu kitaanikwa wazi..kama kina yona na mramba
Mi nadhani Dr Slaa ana busara namna ya kuliendea jambo hili na sijui kwanini hajajitokeza kulisemea! hatuna sababu ya kukaa kimya na kusubiri uchakachuaji wa ccm! ndo maana tuna waheshimiwa walokuja kuangalia uchaguzi pia..kura zilipigwa vema, iweje kujumlihs matokeo na hasa ccm walipokabwa ndo...
Mzee Mwanakijiji,
Nadhani uwajibikaji upande wa Tume ungeleta maana sana kuliko nguvu za umma hasa inapokuja kwa kura za urais..japo bad wananchi una sababu za kushinikiza NEC lakini sasa maandamano yanaanzishwaje kudai tume kwa matokeo ya urais wakati hata wabunge bado!
Au wagombea urais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.