Mkuu Tuko umenena kweli... Nakumbuka sana hotuba ya Kikwete ya kufunga kampeni pale jangwani mwaka 2005 (dakika kadhaa kabla hajaanguka), alisema kuwa amesikitishwa sana na hali ya wafugaji aliyoiona katika mizunguko yake nchi nzima, na kuahidi kuwa akiingia madarakani ataboresha sekta hiyo...
Kuna kitu nakifikiria, I don't know kama kinaweza kuwa fact...
Katka mazingira ambayo serikali inatumia fedha kiasi kikubwa kugharamia gharama zilizoongezeka ghafla kama umeme, je kushuka kwa thamani ya shilingi sio faida kwake?
Yaani kama unahitaji billioni moja Tsh kulipa mishahara, kutoa...
Jimbo la Musoma vijijini na mfano wa maeneo yaliyokuwa na wagombea dhaifu. Unakumbuka yule dogo aliyeteuliwa, kisha yeye na wenzake watano wa vyma vingine wakajitoa siku moja baada ya kutangazwa wagombea na NEC. Hizo ndo hali tunazopaswa kujiepusha nazo 2015.
Hongera mkuu kwa kumkumbusha Slaa...
Mkuu ukweli ni kwamba hakuna shamba la serikali Tz hii kwa sasa lina uhakika wa kuwepo kwa HF pure breed. Kuna ranchi moja ipo Kagera, zamani ilikuwa na pure breeds lakini hata yenyewe sasa inaaminika imeshachakachua. Kitulo pia waliopo sio pure breed, japokuwa kwa kiasi fulani wanakaribia...
Mimi naishi mjini, wala si mkulima kwa practice, bali kwa taaluma.
Mwaka jana kuna mbolea ya ruzuku 'ilikuja' mtaani kwetu nami nikajipati mfuko mmoja UREA na miwili ya DPP. Nilichukua nikaweke kwenye maua yangu.
Ukweli ni kwamba mpango wa serikali wa ruzuku ya pembejeo ni total failure. Sina...
Mzuriweye kama kweli unataka kufanya ufugaji siriaz wa kuku, jipange sawasawa, ili ikiingia uingie kweli. Kwa mfano, kwa hali ya afya ya kuku Tz, simshauri mtu afuge kuku wa mayai kwenye banda ambalo sio la battery cage.
Kuhusu kumpata meneja, ambaye atakupa na bz plan, inaweza kuwa ngumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.