Hata mimi wakuu nimesikitika sna kusikia tamko.Ingekuwa ni mweupe anayengeneza angekaa kimya.Watu kama hawa wangepelekwa sido na kupewa vifaa na siku moja wangeweka historia.
sasa kuwafanya wasinywe muda mwingi si watakuwa nyumbani na si itakuwa balaa zaidi?Kwani wakinywa jion hawalewi?Mm nilifikiri amepiga vita baa kufunguliwa mchana ili watu wafanye kazi kumbe ni ili wasipige wake zao!!!
Nafikiri hata CCM wanakubali kuwa mwisho umekaribia.Haiwezekani karibu halmashauri zote ziongozwe na wapinzani halafu bado wajidanganye wameshinda.Sasa utaona mnyukano ndani ya CCM kwa wale ambao walijitenga na JPM wakati wa kampeni.
Nilichogundua ni kuwa sehemu zote amnazo hazikuwa na matokeo ya magari kukamatwa na kura za bandia CCM wameshinda.Hata huko mwanza vijana hawakufanya kazi yao ipasavyo.
Swali langu,mbona majimbo yote waliyoshinda wapinzani kura zinazotangazwa na NEC kuwa ziliharibika ni nyingi sana ukilinganisha na yale ya CCM?Hivi Kilindi wapiga kura zaidi ya elfu arobaini haijaharibika hata moja?
Kuna maendeleo unayoyaona wewe?Hivi utathubutu kupita mtaani unawaambia rafiki zako kuwa mtoto wako ana akili sana yuko darasa la saba na anaweza kuandika jina lake bila kufuta?
Haya magari yote ni mali ya chama?Manake ydawezekana ni wafuasi wa chadema wameamua kwenda kumpokea kipenzi chao sasa hapo kosa ni lipi?Siku hizi karibu kila mtu ana gari hivyo marafiki zake kumi wakiamua kwenda kumpokea itakuwaje?Acheni siasa za majitaka.Wanaofilisi nchi wanajulikana wazi.
Kumbuka Ukawa wakipitisha jina wanalotaka wengine wanaweza kugombea ubunge kwenye majimbo.Hata Lowasa aliposhindwa kipindi kile aligombea ubunge monduli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.