Kufanikisha kumuonesha jamaa kuwa ni bingwa wa kuigiza, hata hizo chuki anazosema ni maigizo tu.
Angekuwa na chuki ya kweli asingeitikia wito wa polisi kwenda kuandika statement kwani angekuwa na hasira nao na angekuwa anawahofia pia!
Nadhani Kuna kitu hujaelewa. Nadhani wanajua si kazi ya mbunge kujenga hiyo barabara ila ni kazi yake kuwasilisha kero za watu wake serikalini ili zitatuliwe, badala ya kufanya Hilo maswali yake bungeni ni juu ya issues ambazo hazihusiani na mahitaji ya Jimbo lake.
Nadhani stahiki ya kushindwa kusimamia ujenzi huo ilifaa kuwa kufukuzwa kazi kuliko kuhamishia ofisi sehemu kama hiyo ambayo inasababisha kushindwa kutoa huduma kwa watu wanaozihitaji.
Hapo kupata file ni shughuli, data za kimtandao ndo hakuna kabisa. Hapo wameadhibiwa wengi si watendaji tu bali...
Je, hao walimu kila mmoja alifanya somo lake au walifanya masomo yote?
Na kwa mfumo wao wanachukua masomo yote au wanakuwa na specialization kwenye masomo?
Hata profesa wa kiswahili ukimpa mtihani wa A-level wa hesabu atafeli tu manake siyo angle yake
Haya ni mawazo mazuri sana ya kuimalisha usalama wa ndani. Mimi layman ningependa tu kujua HUU WIZI ULIOKUWA UNAENDELEA ULIKUWA UNAFANYIKAJE? Kwani kwa kufahamu vyema mbinu zinazotumika ndivyo unavyoweza kuwa na mbinu bora za kuzuia.
Kwani bado mzigo unaweza kupita getini kwa declaration...
Indeed, wazo lako limeendana na langu. Nakumbuka alilaumu jinsi ambavyo wameacha nguli wakachagua wachanga na lawama zake hazikuwa kwa hao tu ni kwa hata wale wa awali. Wengi ni wachanga wa mambo mazito ukilinganisha na wale ambao wamechaguliwa kwenye nchi zingine.
Wa kwetu hawataweza...
Nina wasiwasi Kamanda Sirro zaidi ya kuhadithiwa na hao vijana wake hajaona video inayoonesha tukio hilo. Maelezo yake yanakinzana na kinachoonekana kutokea.
Kwanza kabla ya kufyatua risasi hata hawakuwa na mpango wa kumkamata baada ya hasira za jamaa kupanda na kukoki bunduki yake na kufyatua...
Umesahau alishauri tununue mitambo ya Richmond au tutaifishe wakamzodoa kwamba serikali hainunui used.
Unajua leo tunaikodisha kwa sh. ngapi mitambo ile ile iliyopewa jina lingine? Usikivu ni mzuri hata kwa yule unayedhani si mwema kwako kwani katika asemayo mengi kuna mambo ambayo yatakufaa...
Tatizo ninaloliona kwa gazeti la jamuhuri kwa kichwa chao cha habari. Hawakuingia kazini kutafuta ukweli bali walienda kupambana na Zitto.
Msingi wa Habari yao ulipaswa kutafuta ukweli wa habari na si kutafuta nani mshindi kati ya serikali au Zitto.
Kwani Zitto aliwaambia ye atashangilia siku...
Labda sasa ingefaa rasmi kitengo cha Traffic kihamishwe kutoka Polisi kihamie TRA.
Wanaimudu vyema kazi ya kukusanya mapato kuliko nyingine za kipolisi.
UNaweza kuwa sahihi katika yote unayosema.
Lakini je kosa moja linahalalisha kosa lingine? Je, ni utaratibu kwenye mkutano kama huo kuanza kumuita yule mama kuwa ni shetani?
Unahisi hizo sheria zilizowekwa kuwashughulikia watumishi hazikustahili kuwepo? Na je vipengele vya kimaadili ambavyo...
Wanashinda nazo barabarani, jambo bora lingekuwa kama kuna tatizo serious kwenye gari zaidi ya kulipa faini lisitembee barabarani hadi litengenezwe. Na kwa makosa ya madereva, dereva sugu kufanya kosa afungiwe leseni asiendeshe gari kwa muda fulani!
Siyo kweli. Kuna daladala ambazo zina bill kabisa hasubiri kukamatwa anapeleka mwenyewe kwani inajulikana kwamba ina tatizo na bosi hajaitengeneza au kurekebisha.
Kuna mdau mmoja juu kasema gari bovu unalipa faini kisha linapiga mzigo, hizo ajari zitapunguaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.