Hawawezi kuweka majina peupe kwa sababu kuna watu wengine wana kazi zao ambao wanaweza kuwa 'potential'sasa wakiweka majina peupe watapigwa stop na maboss wao. Na muda huo kinakuwa hakieleweki watu wataogopa kumwaga mboga wakati hakijaelelweka. kwa hiyo hawaweki majina peupe mpaka kimeeleweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.