Navuta subira kuchangia chochote kwa sababu vikwazo vya kiuchumi sio mara ya kwanza Russia kuwekewa.. Na bado akashinda..
Taarifa nyingi tunazopata ni propaganda za magharibi, ila reality wanaijua warussia wenyewe...
Tuendeleze sifa hata za kinafiki tu.. TISS ya Tanzania nayo ilipaswa iingie kwenye top 10, maana sio kwa kupambana hivi na wapinzani wa serikali ya jiwe..
Kwani hiyo barua ni ya siri au ya wazi kwa watendaji wote??
Pia kwani kuna ubaya gani barua ikisambaa mitandaoni kama njia ya kifikishiana ujumbe?
Au DED wa Nchemba bado anaishi dunia ya enzi za mwalimu???
Ujinga ni adui mkuu wa binadamu
Kwahiyo mzee Bashiru ameanza kampeni mapema hivi????... Ila sijui kama wataweza kumtoa Sugu jimbo la Mbeya mjini.. Tulia Ackson ajiandae kupambana na vijana
Mbowe hahitaji mbinuu chafu kama hizo kutetea jimbo.. DC kama ananuka rushwa ananuka tu wala haina haja ya kumuingiza Mbowe kwenye uchafu wa makada machafu ya ccm
Mtoa post umezitoa wapi hizo takwimu za kukubalika kwa Jiwe???... Umesahau hata kwenye kampeni watu walivyokuwa wanajaa lakini muitikio wa kura uliuona???.
Usidanganywe na ukubwa pua kuwa kipimo cha wingi wa kamasi
Mikwara ya kizamani sana hii.. Ndio maana nawadharau sana wasukuma.. Hadi leo bado wanaamini mambo ya kishamba kama haya... Nashangaa ambavyo viongozi wa ccm wamekaa kimya kuhusu hizi kauli za uchafuzi wa chama chao.. Nathubutu kuamini kuwa ccm wanawatumia hawa wachawi ktk mambo yao...
Shame...
Mnatumia nguvu nyiingi kumsafisha huyu Jiwe wenu na ccm.. Yeye mwenyewe hana uhakika kama anaupeleka uchumi huko mnakotaka nyie.. Uchumi haujengwi na Rais wala viongozi wanafiki.. Uchumi haujengwi kwa kupeleka maendeleo ukanda mmoja wa nchi... Uchumi haujengwi kwa kukamata wapinzani wako...
Ukiona mtu anakubeza sana tena bila sababu basi ujue kuna kitu unamshinda na yeye hana ubavu wa kukufanya chochote.. Wakenya siwashangai, wana wivu utadhani wanawake wa kinyakyusa bwana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.