Rwanda airways wapo poa,Kenya airways kwanza wezi sana,route ya kutoka SA to Dar es salaam kupitia Nairobi lazima uibiwe kwenye mabag,most of people wanalalamika ijcluding me,sijui wanashirkiana wenyewe au namna gani wanafungua mabag kabisa
hadithi ndefuu kuonyesha upeo wako wa kufikiri ulivyo mdogo,umekurupuka but kukurupuka kwako kutakusaidia leo...
Elimu kwanza ndio msingi,,elimu inabeba dhana zote ambazo wewe unapinnga,,watu wakielimika vyema watafundishwa kujiajiri,,wakielimika vyema wataffundishwa namna bora ya...
Mpitagwa
walifukuzwa kwa sababu gani?sio lazima uwekebandiko la lowasa ili mradi tu uongee
jadili hata taifa stars labda upeo wako wa akili utakuwa mzuri huko zaidi
sijawahi ona mtu mp*zi kama wewe
so ur telling us all this ili iweje?
wapi ushahidi wako wa kula pesa zake?
peleka umbea wako kwa watoto wa kike wenzio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.