mnh usiende kwa wenye ndoa zao ukajipa matatizo mie nipo, sijisifu ila najiamini, karibu sana nipo zenji, ntafute kwenye fb na ni follow kwenye twitter pia kwa jina hili. Ntakusaidia sana
usiuharibu urafiki wa mumeo na swahiba wako, huwezi jua wameanzaje urafiki wao, ila chukua urafiki wa "bwana rula" utakusaidia, na huyo shemeji usintege kwa kukaa kihasara hasara, afu pia jua hili
"CHUMA HULIWA NA KUTU, CHA MTU HULIWA NA MTU."
ITS VODACOM.
Kazi Ni Kwako!
mnh mie naogopa khasaaa, na sasa naona tafarani mkasa huu namie wataka kuntokea,
kuna mjimama flani anakaa jirani na nyumbba niliopangisha karibu na chuo , chuo kiomoja hapa kisiwani Unguja, huyo mmama anauza kiduka, wakati naenda kununua vitu vya kupika akajidai kanipenda na kuna mtoto wa...
yakheee msituchanganye hapooo
hakuna cha mhaya, mpogoro wala mpemba hapooi, cha msingi ni kuzikwa kwa hiyo maiti tuu na kuipumzisha salama kwa amani,
na zaidi nyie kama familia ya kanumba oneni ufakhari kwa huo msiba wa ndugu yenu kuhudhuriwa na umati wa watu wengi kuliko kuupeleka mwili huko...
yah inawezekana kama kuna mipango thabiti na heshima ila kiuswahili haiwezekani, mie kuna mdada mwanzo nilikua nampenda nikataka kumtokea wakati tulikua na wiki tu chuoni ya kujuana , baadae nikagundua ni mke wa mtu, afta kunionesha picha ya mwanawe ambae ni wa miaka mi2 , na signs nyengine, but...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.