Efatha/Funguka, Iko poa, We nenda tu kaabudu, ila siku nyingine maswali kama haya huwa hawaulizi humu, unaenda kumtafuta Mtumishi Unaemuamini private then unamuuliza, cuz humu kila mtu na akili zake,
Kaka, natamani nijue zaidi kuhusu hilo swala la Mapping na Tuning, ndo iko vp? Au una fundi yeyote unaemfaham anaefanya hayo mambo ili uniunganishe nae, Maana Imprezza Yangu ndo ipo njiani kuja!
Duuuuh! Thanks kwa maoni yako kaka, maana hapa nko kwenye Mtihani sana cuz sijawahi Nunua Altezza wala Subaru, hasa nkawa nawaza bora ipi? Hapo umenifungua sasa! Vp kuhusu Subaru Imprezza WRX, iko vp? Nataka gari saiv!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.