naungana na wajumbe wengine kusema kuwa ZITTO ni sehemu ya chama kwa sababu n mwanachama lakin kutokuwepo kwake hakumahanishi kuwa CDM haitakuwepo hapa,pia suala la UDIN & UKABILA n ajenda inayotumiwa na NYINYIM(CCM) KWA MANUFAA yao kisiasa kwa sababu wanajua kuwa watz weng hawana elimu kwa hiyo...
atamalza but kwa kashifa nying sana,bila kuangalia itikad yangu jaman cc n watz iweje 2umizane kwa mizozo icyo kwisha kla cku polic arusha wame2mia mabomu nk achen jaman 2ijenge nch ye2 after 2015
atamalza but kwa kashifa nying sana,bila kuangalia itikad yangu jaman cc n watz iweje 2umizane kwa mizozo icyo kwisha kla cku polic arusha wame2mia mabomu nk achen jaman 2ijenge nch ye2 after 2015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.