Kuanguka kwa uchumi ktk mataifa makubwa imekuwa ni balaa kwa nchi za kiarabu ambao walikuwa wako vizuri kiuchumi kwa utajiri wa mafuta duniani. Cyo nchi za afrika pekee bali ukanda wote wa kiarabu. Inauma sana! Viongozi wao walikuwa wanajua hayo lakini wananchi wao walikuwa hawajaona hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.