Search results

  1. K

    Azam Sinema Zetu punguzeni kukatakata tamthilia

    Azam Sinema zetu mmeleta ubunifu mzuri wa kuwapromoti wasanii wa filamu na wengi wanacheza filamu nzuri, tatizo linakuja kwa Wahariri kukata baadhi ya tamthilia na kuweka matangazo ambayo mengine wala siyo ya biashara ambayo hayakupaswa kuingizwa katikati ya tamthilia. Tamthilia ambazo...
  2. K

    ATCL lazima ife tu kama mtu mmoja amefikia hatua ya kwenda "kutanua" na Airbus kijijini kwao

    Hizo ndege zinafanya biashara,Rais anapoichukua kwenda nayo Chato haichukui bure bali inakodiwa kwa ATCL na Hivyo ATCL inapata mapato.Hata wewe ukihitaji kukodi kwenda nayo kwenu unapewa ili mradi ulipie tu,na ndiyo biashara.Safari za ndege zina utaratibu wake huwezi ukaamka leo ukasema narusha...
  3. K

    Bei ya vyakula "Kilimanjaro Fast Food" pale Mombo si rafiki

    hao kilimanjaro express tena hawaruhusu hata abiria kuyingia ndani ya basi na chakula chake ,wanakupeleka kwenye hotel yao na bei zake ndio hizo zilizotajwa hapo juu na vyakula vyebyewe wala si vya quality ya hoteli za kitalii ni vya kawaida sana
  4. K

    Uchambuzi na maoni yangu juu ya kilichosababisha ajali ya Ethiopia Airline, si lazima kuwa na black box kuujua ukweli mchungu huu

    pilot alifahamu kama hilo limetokea ndo maana akawasiliana na control tower kueleza hitilafu ya ndege dk 2 baada ya kuruka akapewa kibali cha kugeuza na kutua lakini hakuweza kugeuza ndege kwa sababu haikuwa na control ya kugeuka au kupunguza speed kutokana na hitilafu
  5. K

    Uchambuzi na maoni yangu juu ya kilichosababisha ajali ya Ethiopia Airline, si lazima kuwa na black box kuujua ukweli mchungu huu

    pilot aliinyanyua kwa nguvu nyuma ikagonga chini bawa za nyuma zikadondoka ikapoteza control ikaanza kutoa moshi,bawa za nyuma ndizo zinazosaidia kupunguiza mwendo na kukata kona.
  6. K

    Jana ilikuwa mara yangu ya kwanza kupanda mwendokasi (UDART) niliyoyaona yamenisikitisha sana

    DAWA NI KUTOA TENDA KWA MAKAMPUNI MAWIL AU MATATU WOTE WATOE HUDUMA YA MWENDO KASI NA KILA MMOJA APANGE NAULI YAKE
  7. K

    MKURUGENZI MKUU BODI YA KOROSHO NA MAAFISA WAKE WANAPASWA KUJIUZULU

    Kitendo cha korosho za Tanzania kukutwa na mawe nchini Vietnam kimetia doa kazi nzuri iliyofanywa na Mheshiwa Rais Dr.Magufuli ya kutafuta soko la uhakika la korosho kwa kuzungumza na Vietnam na bei ikapanda hadi Tshs 4,000 kwa kilo.Sekta ya korosho imepata mafanikio makubwa kwa kipindi kifupi...
  8. K

    Shinikizo la juu la damu (High blood Pressure) Fahamu chanzo, kinga na tiba ya tatizo hili

    mti wa mstafeli majani yake ni dawa nzuri sana ,nilikuwa sinywi kahawa lakini leo hii nakunywa kahawa
  9. K

    Rais Magufuli amteua Mkuu wa Wilaya Manyoni Bw. Mwambe, kuwa Mkurugenzi wa TIC

    kabla ya kuwa DC aliwahi kuwa mchumi wa Benki kuu na pia Mkurugenzi wa uwekezaji wizara ya ushirikiano wa Afrika Mashariki,hivyo si mwanasiasa tu bali mtaalamu wa uchumi,kwa hiyo nafasi ya TIC anaweza kabisa,Rais hakukosea mwacheni akafanye kazi
  10. K

    Wahitimu wa Open University tunadharaulika bila sababu, kwanini?

    Katika ranking ya world universities kwa Tanzania inaongoza UDSM ikafuatia Open University ambayo imeviacha vyuo vingine vya SUA,Mzumbe n,k hivyo kipo vizuri na wahitimu wengi tu wana nafasi nzuri nikiwemo mimi
  11. K

    Katibu Mkuu Kiongozi Vs. Waziri Mkuu, nani mwenye mamlaka/mkubwa kwa mwenzie?

    Waziri mkuu ni mtu wa nne katika itifaki za nchi. 1.Rais wa Jamhuri 2.Makamu wa Rais 3.Rais wa ZNZ 4.Waziri mkuu Waziri mkuu anaweza kukaimu Urais wakati katibu mkuu kiongozi hawezi yeye ni mkuuu wa utumishi wa umma tu. Waziri mkuu ana vigora
  12. K

    Mwanansheria Mkuu Jiuzulu, Umeshindwa Kumshauri Rais

    Rais kuteua Wabunge na kuwateua kuwa mawaziri haikuvunja sheria wala katiba ya nchi.Kwanza katiba inamtaka Rais kuteua mawaziri kutoka miongoni mwa wabunge ambao either ni wa majimbo,viti maalum vya wanawake au wabunge wa kuteuliwa na Rais.Bunge na Serikali ni mihimili miwili tofauti ambapo...
  13. K

    Mwanansheria Mkuu Jiuzulu, Umeshindwa Kumshauri Rais

    Rais kuteua Wabunge na kuwateua kuwa mawaziri haikuvunja sheria wala katiba ya nchi.Kwanza katiba inamtaka Rais kuteua mawaziri kutoka miongoni mwa wabunge ambao either ni wa majimbo,viti maalum vya wanawake au wabunge wa kuteuliwa na Rais.Bunge na Serikali ni mihimili miwili tofauti ambapo Mkuu...
  14. K

    Kamoga umekuwa mpambe wa Lowassa?

    Kwenye 360 kila habari inayomuhusu Lowassa lazima uipigie debe kwa nguvu lakni habari ya Magufuli hutaki kuisikia tunamsubiri Sam ndiyo yupo fair
  15. K

    Mwanaume mwenzangu, usije ukamwamini mke wako hata siku moja

    "Wanawake ni viumbe dhaifi ishini nao kwa akili" alisema Mwenyezi Mungu Jaribu kumshirikisha tu mambo madogo madogo tu lakini siyo yale ya siri. Naawasa mzazi ndie mwenye uchungu na wewe ama ndugu zako. Chondechonde fuateni ushauri wangu! Karibu Shy land kama una la nyongeza. UPDATE...
  16. K

    Kikwete na Lowassa kunani tena?

    Lowasa yupo mstari wa nyuma wa Kikwete hakukaa pembeni ya kikwete hebu angalieni vizuri amekaaa na mawaziri wakuu wa wastaafu wengine
  17. K

    Pinda, kuwa muungwana na jasiri ujiuzulu

    prof muhongo ni jembe aendelee na nafasi yake kwani amefanya mengi ktk nishati na madini ya kupongezwa ila fitna za watu wenye kutaka vitalu vya gas ndo wanataka ang'oke.hang'oki mtu
  18. K

    Majina haya yanapendwa sana wachaga. Na huwaita watoto wao

    Munguatosha,PrayGod,HappyGod,Eliya
Back
Top Bottom