Hana title yeyote ni raia wa kawaida sana znz, hii ni mbinu ni ya mataifa ya nje (marekeani na Uingereza) kutaka kuwagombanisha kati ya waislam na wakristo ili wapate kuchukua rasilimali zetu za nchi kwani ni mbinu wanayotumia kwenye nchi mbalimbali ili kuwagombanisha wenyewe kwa wenyewe na wao...
ccm haina udini kama chadema ndio mana chadema wanapomtenga basi mnamuhusisha na ccm, na kuutaka uraisi sio ishu kwani ni yeye peke yake anayetaka uraisi ndani ya chadema mbona Mbowe aligombea kabla ya Slaa? Slaa ameshindwa 2010 ampishe Zito, Wewe unahisi harakati za ukweli hadi ufungwe kama...
Yaani hata mimi nilivyosoma nimejikuta nacheka bila kutegemea, inamaanisha watu wanatafuta umaarufu kwenye sanaa zao then wanaibukia kugombea ubunge, basi kama ni hivyo tutegemee bunge la :yell:.
Kwa kweli amenishangaza huyu katibu wa ccm kwani anaposema ccm haijamsafisha mtu, kilichotokea kwenye nec ni EL kujisafisha mwenyewe kwani alipotoa hoja yake ya kuchafuliwa na wanaccm wenzake si ndio amejisafisha. Tuwe makini na watu kama lowasa:spy:
Kujihami na yuko tayari kwa chochote na wakati wowote, so doctor kwa nini alikimbia na kujificha kwenye gari ya matangazo, ss ile ilikua na kazi gani au aliibea tu ya mapambo? awaulize kina rage matumizi ya kupanda nayo jukwaani
Jingine kukutwa na risasi kwa doctor slaa ambayo bado hatujajua matumizi yake alipokuwa hapo NMC, kupanga maandamano ya mikoa mbalimbali bila kujipanga
Kuandamano mara nyingi kutawaongezea kesi hasa kwa viongozi wa cdm katika nchi hii ambayo haipendi democrasia hasa kwa chama kinacholeta chalenge kwenye uongozi cha msingi ni kufafuta suluhisho ambalo halitaathiri wananchi na pia viongozi. Nchi nyingi ambazo huleta mabadiliko huwa...
Tatizo sio kuwajibu au kulumbana na wapinzani hapo kinachotakiwa ni kujibu utekelezaji wa majukumu yako, umemsaidia nini mwananchi hasa yule wa jimbo lako, umesaidiaje kuleta na uboresha huduma za jamii na mwananchi atafaidikaje na uongozi wako.
Ushujaa unaweza kuwa popote hata ndani ya ccm kuna mashujaa na mafisadi ila yeye yuko upande wa wanaopinga ufisadi ndio mana huwa anachukiwa. Na ndani ya ccm nusu mafisadi na nusu watetea haki so ni bora abaki apambane nao kuliko kuwakimbia na kuwaanja wakijinafasi na tamaa yao ya kupata uraisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.