So Mwakyembe anasema baada ya EL kujiuzulu mgao wa umeme umeisha huko au?
Kwanin amekuja sasa kutuambia? Si alipewa mda bungeni? Hayakuisha?
Njaa mbaya sana! Ndio maana akapewa 'ugonjwa' labda ni 'adhabu' yake kwa kusema uongo
Ndiye "mwenyezi" wa ACT!!
Wakiweka picha za wagombea wao bila kumweka mwenyezi watu watadhani ni matangazo ya shoo za muziki au mikutano ya kidini au matangazo ya biashara!
Lizaboni Pole na kazi mkuu! Hii UKAWA hii, yaani wanabadili badili tu vitu hadi unalazimika kupost kila dakika kuendana na mabadiliko ya gia za angani!! Sasa hii sifaaa!
Upinzani hauwez kufutika kwa mgombea kupokewa na watu wengi!
Ungeona siku wenje kachukua fomu sijui ungesemaje?! Subir oktoba uje utuambie haya uliyoandika
Safi sana mkuu! Jamaa wameshajua sisi tunafikiri kwa masaburi ndio maana wanabadil issues kuwa blah blah na bado nyumbu wanafuata tu! Now wanataka tuone kama kuweka fedha nje ni ufisadi!!
Kuweka fedha nje sio tatizo! Tatizo ni namna mtu anavyozipata fedha hizo!
Huyu mzee kashiba sasa anaanza kuropoka!
Hana uwezo wa kusitisha zoezi! Ni ulevi tu wa madaraka na kuropoka!
Kama anaona wanasiasa wanavunja sheria taratibu zipo za kufanya na sio kuropoka eti atasitisha zoezi wakati anajua uwezo huo hana!!
Stori za kuambiwa na baba zimekuwa formula!! Muulize mama akuambie honestly kama she was the happiest woman katika ndoa kwa kuwa naye ndiyo utajua kama ufuate maneno yake au la!!
Sio zile ishu za kuona wanacheka sitting rum ukajua mama is the happiest!
Hivi jeshi letu linatumia manati siku hizi??
Na kile kisu ambacho hata wauza miwa wanavyo ndio silaha za kijeshi?!
Kwahiyo nikikamatwa na manati nyumbani na kisu kikubwa maana yake nimemiliki silaha za kijeshi?? Dah
CCM nchi ishawashinda hii
Kwahiyo inamaana kuwa hayo madaraka aliyonayo supreme leader zzk sio mengi na makubwa?! au unadhan hicho kilichoandikwa kwenye katiba ni madaraka madogo?!
Watanzania bana unaandika kitu na kukisahau hapo hapo!
Kama unamuoa ili aje kuwa mama mchungaji basi bora umlazimishe mapema kabisa kuokoka! Vinginevyo kutamka umeokoka ni rahisi sana! Matendo ndio yanayowaumbua nyie mnaojiita walokole
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.