Hapo kisicho na stress ni nyumba za kupangisha tu
Biashara nyingi kwanza zinataka uwepo na uzoefu ....maana sio uje upatie uzoefu kwenye hela ya mtaji utalia
Maana ndio kinacholizaga wastaafu hicho
Wanawake huwa wapo Emotional sana
Mwanamke yeyote ambaye anatoka nje labda ni M1 kwa 10 tu ambaye hamsemi mume wake vibaya kwa hawala yake
Lkn Wanaume huwa wako Rational akishakuwa na mchepuko lazima huwa dhamira inamsuta kuhusu nyumbani kwake au mke wake na huwa kuna mapenzi home ni M1 kwa 10...
Sina neno hapa kila mtu na Mungu wake au usiwe na Mungu utajua wewe unapo paamini au unayemwamini
Lkn mwisho wa siku Lazima kuna Mmiliki wa ulimwengu huu
Ndio yeye atakayejua nani ni nani
Na amefanya nini nani kafanya kosa na hajakosa!!.
Jambo lolote baya ulisikie kwa jirani tu!!
Imefikia watz utu unatutoka kisa siasa!!
Yaani mtu yuko radhi kabisa kuona balaa likimtokea jirani yake kwasababu hakumpenda tu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada mbona ngoma droo hapo
Na kwa hii democrasia ya kenya na wao wataanzaje kumsifia Laila au mtaweka wapi nyuso zenu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm huwa naamini katika upendo na utu ukiwa na hivi sheria haina umuhimu
Dada ni kweli alikuwa kwenye sheria lkn utu ni muhimu wakati mwingine
Ningekuwa mm pigo ambalo ningempa
Alivyodai apunguziwe hadi 20000/= ningempa bure na ukweli wake juu
Yeye ndo angejitafakari!!
Heshima kwenu wakuu, natumaini kila mmoja wenu ni mzima!
Kama Title inavyojieleza naomba kufahamu kuhusu hichi kipimo Maana kuna Dr alinishauri kuwa nimpeleke wife baada kufanya vipimo kadhaa bila mafanikio (kupata mtoto).
Sasa kuna mengi nayasikia hasa Ke kupata maumivu makali
Lakini Mimi...
Panafaa sana kwa honeymoon huko! Unajificha na mkeo mpya unajilia vyako bila wapiga chabo wa uswahili na bugudha za kutoboa nyavu za madilisha huko mnazomeana na samaki tu!!!
Hapa ndo namkumbuka @YerikoNyerere nazile nyepe nyepe za vikao vilivyokuwa vikiendelea kwa siri usiku kuwa Ndugai amezira kuendesha mjadara na atafutwe mama Makinda popote alipo aje kuokoa jahazi
Sasa na vikanuni eti wakiwawajibisha majiz ataingilia mhimiri mwingine pia hapo hapo kajikanyaga...
Sendeka: Nimesoma kwenye mkataba ambao pia uko ofisini kwako na wewe umeshiriki, profesa aliita nyaraka nilizozileta ni za kufungia maandazi, hakuna shaka kuwa Muhonga alikua dalali katika dili hili, nina uhakika miongoni walionufaika ni waliowezesha dili hili. Ingekuwa haunizidi umri ningesema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.