Ipad 4, 64 gb, 3g/4g Lte in its origional packages no scrathes, not upgraded to ios7, comes with premium leather smart cover that switches off display when closed. Includes plenty of paid apps such as Pinnacle studio, photoshop touch, polaris office, FL studio HD, Nfs mostwanted, asphalt 8, fifa...
Mwaka 2144 teknolojia itakuwa mbali sana kiasi kwamba mtu utaweza ku download DNA blue print ya mtu unayempenda kwenye dating site yoyote then unai print kwenye 3D Clone printer then unampata mtu wako.
Hata babuzetu mwaka 1890 hawakutegemea watu wanaweza kuchumbiana kwenye social networking...
1.ndoa ingekuwa na maana gani?
2.binadamu tungeisha? (Extinct)
3.ubaguzi wa kijinsia ungekuwaje?
4.tungezaliana kwa kulazimishwa?
5.ukimwi ungekuwepo?
6.urembo/uzuri ungekuwa na maana gani?
7.artificial insemination ingekuwa common?
8.machangudoa wangekufa kwa njaa/uvivu?
9.kuna mtu...
Nimeangalia muvi nyingi za hollywood za mapenzi sijawahi kuona demu akimpiga mzinga bf wake. Atapigwa mti na kusepa bila kuomba nauli wala hela yya matumizi sijui hela ya saluni. Au watatoka out kula kila moja atalipa.
Hii tabia ya kuombaomba mademu wa bongo wameiiga wapi? Maana ukilala naye...
Yaani kweli nyerere alikosea. Kutuunganisha na hii mi alishabaabu. Bora tungeiacha ingekuwa kama kisiwa cha comoro. Bora tungeungana na wakristu wenzetu wa malawi na zambia.
Nna king'amuzi cha dstv ila sipati local channel. Sielewi serikali ilimanisha kwamba sitakiwi kuona tv za kwetu ili niangalie za nje tuu au? Kama hivyo kweli huu si ndo ukoloni mamboleo wa kutubrain wash wa tz. Lini viongozi wetu wataweza kusimamia sera za nchi kwa maslahi yetu bila kuburuzwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.