Wapendwa wana Jamii forum,
Jambo wote.
Ni mara yangu ya kwanza kusema nanyi kwa mtandao.
Inatia moyo kuona tunajali jamii inavyoendesha mambo ya jamii yetu.
Ni kweli kabisa kumekuwa na vibao vingi vimewekwa na mamlaka husika kubadili matumizi ya njia hizo.
Zipo sababu nyingi, lakini nataja moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.