watu wakikuchukia hata useme nini hawaoni,kifupi kuna wapinzani wa zito ndani ya chadema ambao wanachukulia urafiki wake na wana CCM au uwazi wake wa fkra ni kukosa adabu kwa viongozi wa juu au usaliti
kuna kampuni ya mhindi iko pale shopers plaza ndo inawasinisha mikataba wasanii kwa kifupi watakua wanaliwa na huyo mhindi ye ndo anadeal na mitandao ya simu nafkiri hakuna mkataba wa moja kwa moja wa kampuni ya simu na msanii
kova hana kosa yule bado ni mtihumiwa akijulikana ni mwehu ataachiwa,lkn huwezi mwachia mtu kiholela ikigundulika badae ulimwachia mafia wa ukweli ni kosa,bora akaachowe mahakamani
hizo kozi laini mnazotaka kusoma si ndo maana mmejaa mitaani hakuna kazi,lawyers kibao mtaani,nitafutieni dr ambae hana kazi,soma miaka 5 kwa shida upate uhakika wa ajira au 3 years kilaini usote mtaani,na ingekua fani nyingine wangeshafukuzwa.bado wanathaminiwa
uongozi mtu anazliwa nao inakua kwenye damu kuna mtu anakipaji cha kuongoza hatakama hakwenda shule,mf machifu,shule ni vitabu tu,lbd ana uwezo mzuri wa kukumbuka alichofundishwa haina maana ana akili sana
zitto alisema clous fm siku ya ijumaa kuna mawaziri wamejiuzulu yeye hajui majina aulizwe january kwa kua ni mjumbe wa kamati ya uongozi ya ccm,clouds fm waliimhoji january na kukiri anafahamu maamuzi yote yalofikiwa na pinda atayatangaza jtatu kama walivyokubaliana,wao wakamwita mnafiki kwa...
sera za nyerere kila raia awe askari ndo maana ilikuepo jkt,mabalozi walirudishwa nyumbani kufanya kozi ya uaskari haijalishi cheo au familia lzm upitie jeshini,sera imebadilika si watoto wa maraisi wengine sote kizazi kipya hata jkt hatujaenda
kisheria wenye kesi za mauaji wote hupangiwa mawakili wa utetezi bure,mtuhumiwa ana haki ya kuongeza wake,kwa sasa hahitaji msaada wa kisheria kwa kua kesi haijaanza rasmi,itaanza mahakama kuu atakaposhtakiwa rasmi,tena anaweza asishtakiwe kbs.kumbuka dito alishtakiwa kwa mauaji isivyo rasmi...
kazi ya ewura ni kusababisha bei kupanda kwa kukata makato yao,na kulipana posho tu,kama bei inatokana na soko la dunia basi inajulikana tu,bora kazi yao ingekua kuregulate dola
inabidi umwombe mola wako msamaha,unampangia kazi,unaomba awe mbaguzi,yaani baya li mkute kisa maoni yake ambayo huyaafiki. n then u call urself great thinker
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.