Kwani ulitaka uteuzi na wewe? ACHA kwanza kuandika makala ndefu za kipuuzi za kusifia ovyoovyo ambazo zinawakera hata unaowasifia. Zinakuvua nguo tu kuonesha kichwani ulivyo mtupu. Serikalini Kuna watu wenye akili hauwezi hatau-DC. Nakushauri urudi shule tena vyuo hivi UDSM, SUA au Mzumbe tu.
Maswali yaelekezwe kwa MKWE, Profesa mtamwonea bure hahusiki na hili japo lipo chini ya wizara yake. Anapenda nae kutumia V8 ya kujaziwa mafuta na serikali.
NECTA na Morogoro Sec ni mtandao wa wezi kwa watahiniwa binafsi. Kujisajili kidato 4 kwa Sh. 160,000 ni kubwa.
Nani anapanga kikomo cha kulipia kwenye vituo vya kufanyia mitihani watahiniwa binafsi?.
Nimefika shule ya sekondari Morogoro kumsajili kijana wangu afanyie mtihani wake wa kuhitimu...
Tunasambaziwa taarifa ya fursa ya matibabu nchini Cuba na kuomba taarifa hii isambazwe kwenye magroup yote.
Naomba kujua kama ni sahihi balozi kutupa namba yake ili hospitail na wagonjwa kuwasiliana nae binafsi moja kwa moja?
Nilidhani alitakiwa kupeleka taarifa hiyo Wizara husika ya afya...
Kama habari yako ni kweli. Mbona rahisi tu, si waandikiwe barua za kujiuzuru vyeo vyao vya CWT wapelekewe wasaini hizo barua. Halafu tuone watakavyokataa u-DC. Waombe tu wasifanyiwe hivyo baada mama kuteua wengine kuziba nafasi zao. " Mama juzi katoka kukopa,, nchi hii itapigwa Mnada".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.